Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Uko sahihi.Mkuu sio fagio tu,kumpeleka mtoto advance ili apokelewe vitu walivyoorodhesha at least uwe na laki nne ndio pesa ya chini kabisa
Nilikabidhiwa mwanafunzi nimpeleke kwenye hiyo shule mbona nilikiona cha moto.
Mazagazaga yote kuanzia shopping, michango, vifaa zaidi ya laki 6 ilikufa.
Hapa bado nadaiwa Jembe walisema mwezi wa 12 apeleke, ngoja nisubiri kama watafuatilia ila najua ishaisha hivyo