mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nimepewa code mitaa hiyo kuna moto.
Mwenye kujua zaidi atupe taarifa
Ova
======
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa Kinondoni Shamba amesema alipoongea na wanafunzi wamesema chanzo ni umeme lakini bado haijathibitishwa rasmi. Amesema moto unaendelea kusambaa kwa sababu baada ya kutoa taarifa limefika gari moja lakini wanaomba magari mawili kwa sababu shule ina mabweni makubwa na gari limeshaishiwa maji na moto unazidi kupamba kusambaa hivyo wanaomba msaada wa magari mengine ili msikiti mpya wa Bakwata usije nao ukaungua.
Amesema anashukuru Mungu wameokoa wanafunzi wote na wapo wawili wamewapeleka hospitali hivyo wanafunzi wote wako salama. Amesema kama wananchi wamejitahidi kuokoa vifaa kama computer na vinginevyo lakini juhudi zao zimegonga mwamba hivyo vilivyobaki wamewaachia Jeshi la zimamoto.
CHANZO: ITV
Mwenye kujua zaidi atupe taarifa
Ova
======
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa Kinondoni Shamba amesema alipoongea na wanafunzi wamesema chanzo ni umeme lakini bado haijathibitishwa rasmi. Amesema moto unaendelea kusambaa kwa sababu baada ya kutoa taarifa limefika gari moja lakini wanaomba magari mawili kwa sababu shule ina mabweni makubwa na gari limeshaishiwa maji na moto unazidi kupamba kusambaa hivyo wanaomba msaada wa magari mengine ili msikiti mpya wa Bakwata usije nao ukaungua.
Amesema anashukuru Mungu wameokoa wanafunzi wote na wapo wawili wamewapeleka hospitali hivyo wanafunzi wote wako salama. Amesema kama wananchi wamejitahidi kuokoa vifaa kama computer na vinginevyo lakini juhudi zao zimegonga mwamba hivyo vilivyobaki wamewaachia Jeshi la zimamoto.
CHANZO: ITV