sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]TBC watakuja kesho, sasa hivi wapo busy kumwimbia MFALME
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]TBC watakuja kesho, sasa hivi wapo busy kumwimbia MFALME
Hahahahahaha. Ni sawa unaenda kituo cha mwendokasi na kusahau barakoaWamiliki wa hizi shule ni BAKWATA,mie nadhani ni ajali za kawaida fire kutofika eneo la tukio kwa wakati kibongo bongo ni la kawaida sana.
Early 2017 hapa Kariakoo kuna nyumba iliungua yani kutoka ilipotokea ajali hadi pale fire ni kiasi cha dk7 mtu ukikimbia ni dk 4,hamna 2 kilometers but nyumba iliungua ikaisha wanakuja wanakuta ndo paa la nyumba linadondoka.hii mamlaka miaka yote huwa haijifunzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafanya makusudi hao.Wamiliki wa hizi shule ni BAKWATA,mie nadhani ni ajali za kawaida fire kutofika eneo la tukio kwa wakati kibongo bongo ni la kawaida sana.
Early 2017 hapa Kariakoo kuna nyumba iliungua yani kutoka ilipotokea ajali hadi pale fire ni kiasi cha dk7 mtu ukikimbia ni dk 4,hamna 2 kilometers but nyumba iliungua ikaisha wanakuja wanakuta ndo paa la nyumba linadondoka.hii mamlaka miaka yote huwa haijifunzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafunzi inasemekana bado wako nyumbani kwa mufti ufipa wajue hatma yao watapelekwa wapiShule ya sekondari ya Kinondoni muslims imeteketea kwa moto lakini hakuna mtu yoyote aliyeathirika.
Taarifa hii imetolewa na sheikh wa mkoa wa Dsm alhad Mussa Salumu.
Source EATV!
Maendeleo hayana vyama!
Naikumbuka Kimbweru bwashee!Wanafunzi inasemekana bado wako nyumbani kwa mufti ufipa wajue hatma yao watapelekwa wapi
Mrangi from gairo
Ova
Kivipi ..kwa mfano,kaa utulieIGP Sirro na Ndalichako watupe majibu
Shule ya sekondari ya Kinondoni muslims imeteketea kwa moto lakini hakuna mtu yoyote aliyeathirika.
Taarifa hii imetolewa na sheikh wa mkoa wa Dsm alhad Mussa Salumu.
Source EATV!
Maendeleo hayana vyama!
Sasa hapo unayajenga nn wakati naona unatoa kauli kama za kudhihakiAcha kupanik mzee
Kuyajenga ni namna ya kuwasaidia wanafunzi
Ova
Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
shule ya pili ya waislam inaungua kuna kitu