Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC eti TV ya taifa wahuni tu wale, baadaye saa 2 utawasikia tu wanafunzi wote wakosalama hakuna majeruhi kikosi chetu cha fire wamefanya kazi kubwa sanaTBC watakuja kesho, sasa hivi wapo busy kumwimbia MFALME
TBC eti TV ya taifa wahuni tu wale, baadaye saa 2 utawasikia tu wanafunzi wote wakosalama hakuna majeruhi kikosi chetu cha fire wamefanya kazi kubwa sana
hidden
IGP Sirro na Ndalichako watupe majibuHizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
Hizi ajali zinakuwaga na athari kubwa sana wakati mwengine,la kushukuru kama wanafunzi wote wapo salama mengine ni ya ziada yatashughlikiwa kwa wakati wake.
Wamiliki wa hizi shule ni BAKWATA, mie nadhani ni ajali za kawaida fire kutofika eneo la tukio kwa wakati kibongo bongo ni la kawaida sana.Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
BAKWATA Wana Majibu.Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
Huyo dereva nini kwanini asiingie Mwendokasi?au nao siku hizi wanakamatwa?Na Gari la zima moto ndo Kwanza lina toka hapa FAYA, limezongwa kwenye foleni!
View attachment 1509522