Shule ya Kinondoni Muslim inawaka moto Kinondoni

Shule ya Kinondoni Muslim inawaka moto Kinondoni

Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
IGP Sirro na Ndalichako watupe majibu
 
Na Gari la zima moto ndo Kwanza lina toka hapa FAYA, limezongwa kwenye foleni!
Adjustments.jpg
 
Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
Wamiliki wa hizi shule ni BAKWATA, mie nadhani ni ajali za kawaida fire kutofika eneo la tukio kwa wakati kibongo bongo ni la kawaida sana.

Early 2017 hapa Kariakoo kuna nyumba iliungua yani kutoka ilipotokea ajali hadi pale fire ni kiasi cha dk7 mtu ukikimbia ni dk 4,hamna 2 kilometers but nyumba iliungua ikaisha wanakuja wanakuta ndo paa la nyumba linadondoka.hii mamlaka miaka yote huwa haijifunzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi shule 2 za secondary zimeteketea kwa moto kwa asilimia 75%+ nini kiko nyuma ya hii mioto. Turudi nyuma kwa nini hizi shule zilianzishwa? (Vision and mission of these schools) Je, wapi wamiliki wa hizi shule? History ya walimu wa madrasa wa hizi shule zikoje? Kwa nini fire wanashindwa kufika katika eneo la tukio zaidi ya masaa 3? Na mwisho zinakuja Gari za zimamoto zaidi ya 2?
BAKWATA Wana Majibu.
 
Back
Top Bottom