Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ushauri wa mleta mada una maana. Mleta mada anasema (regardless ya nani anamiliki) scope ya mafunzo ipanuke zaidi na isifungwe na mawazo ya Nyerere peke yakeMmiliki wake Ni CCM
Sawa sawaHicho Ni chuo Cha CCM. Siyo chuo Cha serikali.
Naona hujaelewa hicho kitu.
Kwahiyo kwa CCM kulipa Hilo jina chama Chao, hakuna tatizo lolote.
Maana huwezi kumtenganisha Nyerere na CCM.
Ilibakia kidogo tu useme kiitwe mbowe academy international.
Ila ndio hivyo tena nyerere ndio alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa chama hivyo ana haki hiyo.
wivu wa umasikiniWivu wa maendeleo
HhahahhMleta mada una undugu na mzee kilizi a.k.a mzee wa kuhujumiwa kijukuu wa dully sykes. Mohamed Said
#MaendeleoHayanaChama
Ila wana CCM ndo wanapewa shavu kwanzaSiyo cha CCM peke yao. Ni chuo cha vile vyama vinavyojiita vya Ukombozi. CCM, SWAPO, FRERIMO, ZANU.... Wamejengewa na Wachina bure.
Tatizo la watanzania wengi lipo kwenye kutenganisha Urais na uenyekiti wa Chama. Kama Rais anaweza kualikwa kufungua chichote katika nchi.Sasa matusi ya nn! Mambo ya chama huhudhuliwa na mwenyekiti! Mambo ya kitaifa Ndipo Kofia ya URAIS hutumika!
Huwezi muita RAIS kwenda kuzindua tawi la BAVICHA, AU UVCCM
Je, una kadi ya ccm au communist party of China??recruitment process zitakuaje mkuu tukasome aloo...
Penye Nyaya andika Nyayo...Uwanja wa ndege ukiitwa "Jomo Kenyatta" haina maana kwamba watu wote wanaotua pale lazima wawe mashabiki wa Nyaya philosophy.
By the way,Nyaya no neno la Kihindi linalomaanisha "logic' .
Kwa mfano zipo Nyaya Sutras of Gautama ambazo kama ungesoma,usingeandika mambo haya.
Apia??Hujui kuwa Mbowe ni mtoto wa Nyerere.!
Apia??
Poleni sana asee.Kinafunguliwa na Mheshimiwa 23rd February,
Lami imeishia pale pale chuo wakati hiyo ndo njia ya kwenda steshen reli ya mwendokasi.
Maji huku jirani na chuo hakuna ni wiki tatu sasa raia hatuna maji.
Hapa tuko kuandika mabango hatujui yataondoka na nani.
Nitaendelea kuwa chini ya kiapo.!
ohoo Kwa vigezo hivyo sasa ,wacha tuwaachie wenye navyo...Je, una kadi ya ccm au communist party of China??
Ni kwa mtazamo tu ila sioni kama kuna tstizo maana lile jina tu ambalo halijabeba chochote kitu, chukulia mfano familia zetu ili kizazi kisisahsulike kinaenziwa kwa kulidhishana majina hata ukienda kwenye mandiko matakatifu ni hivohivo kwa maana hiyo kwangu naona haileti shida maana we pale umefuata mafunzo sio jina la shule au taasisi.Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,
Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!
Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!
Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!
Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!
Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!
Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!
Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha!
Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!
Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)
Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu
Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Hapo hakuna tofauti kati ya nyayo na nyaya kwa sababu obviously neno letu limetoka India au neno like la India limetoka hapa.Penye Nyaya andika Nyayo...
Majengo hayo si ya kukaribia... utafundishwa uzezeta wa ccm