Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio shule ntampeleka mwanangu hapo angalau government inayojielewa😅
Mkuu ada ni bei gani kwa mwaka hapo?
Hio shule ntampeleka mwanangu hapo angalau government inayojielewa😅 sitaki nimsomeshe mtoto kwa mamilion ila nataka asome shule standard tu.
Nimefurahi sana kusikia hilo madam. Nilikuwa naumiza kichwa wapi mwanangu atasoma ila pasiwe pa kulipishana laki 9 kwa miezi mitatu.Ada 300,000 na mtu anataka mtoto aingie bila kulipa
Watanzania [emoji119][emoji119]
Mkuu ntahonga tu hata cabinet ya walimu wote ili katoto kangu kapate chance hapoPeleka asee, shule nzuri sana. Mtihani ulionao ni kupata nafasi hapo.
Ada 300,000 na mtu anataka mtoto aingie bila kulipa
Watanzania [emoji119][emoji119]