Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Sio swala yani!

Nafikiri ni wakati wa shule baadhi kuwa converted to English mediums na kupewa facility nzuri walau kila zone iwe na shule hata 3 za hivyo. Kuliko kuwa na mashule mengi ambayo hayana walimu.

Mfano: Tabata kuwe na shule kadhaa za hivyo yani segerea iwepo moja, Kimanga Moja, Kinyerezi Moja, Jeshini moja kule...Pawe na full facilities. Hata wakilipisha ada laki 3 sio kesi ila shule iwe imekamilika watu watalipa.

Mlimani napo ikiwepo moja sio kesi maana wana eneo zuri la kuinvest shule wasome watoto wa ma lecturers. Na wazazi wa Sinza na maeneo jirani kama changanyikeni wapate elimu nzuri tu.
Hapo itakua serikali ina tegeneza matabaka katika elimu kwanini isi boreshe shule zote, na kiingereza iwe meadiam of instruction, kiswahili liwe soma kama mengine, wakati uwezo serikali inao.
 
usipende vya bure, alafu muje kusema shule za serikali zinafeli sana😀😀
waondoe sasa kauli ya elimu bure tena utawasikia viongozi wa serikali wakikaza misuli ya shingo wakijinadi tusisikie mtoto anarudishwa nyumbani kwa sababu ya ada na wala tusisikie watoto wanatozwa ada shule za serikali
 
Kumbe bei rafiki tu inabidi tupambane na sie watoto wakasome ushuani sio mtoto akifika chuo ndio anajua kuwa kuna range rover na escalade😅 mwisho anaishia kudanga danga tu bila mpango.
Mkuu hutaki kumpeleka Tanganyika,Feza ,Kwanza Primary hapo anakuwa wa kimataifa maana hata Ada yake unailipa in USD, yani hapo mtoto akifika std 7 equivalent ya Mwanachuo wa bongo asiyejielewa.
 
Mkuu hutaki kumpeleka Tanganyika,Feza ,Kwanza Primary hapo anakuwa wa kimataifa maana hata Ada yake unailipa in USD, yani hapo mtoto akifika std 7 equivalent ya Mwanachuo wa bongo asiyejielewa.
Hahahahah uchumi ukiwa wa bluu before miaka 4 toka sasa ataingia feza!
 
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?
Hii laki 2 matumizi yake ni yapi??..

Kwa ninavyo fahamu Mimi hiyo shule pamoja na Ile ya inaitwa Bunge..

Huwa wanakuwa na school bus.. shule IPO upanga wanafunzi wapo Gongo la mboto n.k sasa kurahisisha huwa wanakodi daladala kama school bus kila siku ahsubuhi kutoka sehemu mbalimbali kubeba watoto.. na kuwarudisha jioni.

Kama sio kwaajili ya matumizi hayo watakuwa wanakosea.. lakini kingine kwanini Mzazi uache shule Gongo la mboto umpeleke Upanga??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

"Acha Mbuzi wale Majani yanayo wahusu Tu.. hakuna namna"..
 
Kumbe bei rafiki tu inabidi tupambane na sie watoto wakasome ushuani sio mtoto akifika chuo ndio anajua kuwa kuna range rover na escalade😅 mwisho anaishia kudanga danga tu bila mpango.
hahahaha wa kwangu wako hapo .fanya hivyo
 
Mkuu hutaki kumpeleka Tanganyika,Feza ,Kwanza Primary hapo anakuwa wa kimataifa maana hata Ada yake unailipa in USD, yani hapo mtoto akifika std 7 equivalent ya Mwanachuo wa bongo asiyejielewa.
hata hawa wa olympio ni tofauti na kayumba,hahaha
 
Hii laki 2 matumizi yake ni yapi??..

Kwa ninavyo fahamu Mimi hiyo shule pamoja na Ile ya inaitwa Bunge..

Huwa wanakuwa na school bus.. shule IPO upanga wanafunzi wapo Gongo la mboto n.k sasa kurahisisha huwa wanakodi daladala kama school bus kila siku ahsubuhi kutoka sehemu mbalimbali kubeba watoto.. na kuwarudisha jioni.

Kama sio kwaajili ya matumizi hayo watakuwa wanakosea.. lakini kingine kwanini Mzazi uache shule Gongo la mboto umpeleke Upanga??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

"Acha Mbuzi wale Majani yanayo wahusu Tu.. hakuna namna"..
hahahaha
 
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?
Kwani utaratibu ukoje.miaka mingine wanasomaga bure au huwa wanalipa? Wazazi tuwe tunafikiri vizuri.ukitaka shule za bila malipo mbona zipo.nyie mlienda kutafuta nini huko? Hizo shule zilijengwa kwa ajili ya foregners wasiojua kiswahili.Ndiyo maana wanalipia.
 
Back
Top Bottom