Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Shule ya Msingi Olympio inayomilikiwa na Serikali yarudisha nyumbani wanafunzi wasiolipa ada

Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?

Lipa ada wewe acha kulia lia JF...

Huna ada halafu unataka umpeleke mtoto Olympio??
 
Nadhani hiyo ni moja ya shule za serikali zifanyazo vizuri sana kwa jiji la ilala,

walipe tuuuu manake hata tozo tuligomea na sasa twalipaa
 
Na hapa mza wametuanzia ama wameamua kutufungulia shule moja Kama hizo za kwenu dar.ile nyanza primary imebadilishwa ni mtaala wa English..Ada ni laki sita mkuu
Sio swala yani!

Nafikiri ni wakati wa shule baadhi kuwa converted to English mediums na kupewa facility nzuri walau kila zone iwe na shule hata 3 za hivyo. Kuliko kuwa na mashule mengi ambayo hayana walimu.

Mfano: Tabata kuwe na shule kadhaa za hivyo yani segerea iwepo moja, Kimanga Moja, Kinyerezi Moja, Jeshini moja kule...Pawe na full facilities. Hata wakilipisha ada laki 3 sio kesi ila shule iwe imekamilika watu watalipa.

Mlimani napo ikiwepo moja sio kesi maana wana eneo zuri la kuinvest shule wasome watoto wa ma lecturers. Na wazazi wa Sinza na maeneo jirani kama changanyikeni wapate elimu nzuri tu.
 
Sio swala yani! Nafikiri ni wakati wa shule nyingi kuwa converted to English mediums na kupewa facility nzuri walau kila zone iwe na shule hata 3 za hivyo.
Ziwee tano tano mkuu.
Ila navyojua like 100yrs to come itakuwa ni full English.
Mie nilipenda hata apitie hizi kayumba sema Sasa naona akijua English Kuna maarifa mengi Sana anaweza akawa anajifunza even komputa iko full english.yaani ukijua English afu una uwezo wa kusoma unajifunza Mambo mengi Sana..so napenda English Ila sio kuwa nazikubali private. Ni Bora niajili mwalimu anakuja nyumbani anamfundisha mwanangu namlipa hata laki 2.
Kuliko hiyo hela kuipeleka private. Mana mie nitakuwa namuendesha huyo mwalimu.afu mwanangu jina lipo kayumba Nampa headteacher like 50k anakuwa haendi shule ilimradi anaenda kuifanya mitihani basi.
Ama hata private namiliki jina Ila kusoma anasomea nyumbani.shule anaenda kimachame Sana
 
Ziwee tano tano mkuu.
Ila navyojua like 100yrs to come itakuwa ni full English.
Mie nilipenda hata apitie hizi kayumba sema Sasa naona akijua English Kuna maarifa mengi Sana anaweza akawa anajifunza even komputa iko full english.yaani ukijua English afu una uwezo wa kusoma unajifunza Mambo mengi Sana..so napenda English Ila sio kuwa nazikubali private. Ni Bora niajili mwalimu anakuja nyumbani anamfundisha mwanangu namlipa hata laki 2.
Kuliko hiyo hela kuipeleka private. Mana mie nitakuwa namuendesha huyo mwalimu.afu mwanangu jina lipo kayumba Nampa headteacher like 50k anakuwa haendi shule ilimradi anaenda kuifanya mitihani basi.
Ama hata private namiliki jina Ila kusoma anasomea nyumbani.shule anaenda kimachame Sana
Hahahahaha hawa private hela wanataka nyingi mno!
 
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?
Acha kulia lia kama boya, lipa ada hiyo mtoto asome.
Wewe Christmas si ulikua unazungusha raundi baa na kuchoma mbuzi ukijitapa kuwa una pesa?
 
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?
Muhamishie kwa Mpalange Primary school
 
Tanzaniano.....😂😂 kwa ubwete hatujambo,,,, kila jambo ni la kulalamikia hata kama unalifahamu vizuri.....
 
Leo hii siku ya kufungua shule, Shule ya Olympio Upanga, Dar zaidi ya nusu ya wanafunzi wamerudishwa majumbani kwa kutokwenda na ada.

Wameambiwa lazima waende na angalau laki mbili ndiyo wataruhusiwa kusoma.

Je hii si shule ya Serikali, au?
Wewe, tumia akili. Hiyo hela ina malengo yaliyowekwa kufanikisha malengo hayo. Kama shule inafungua na kazi zinatakiwa ziendelee, halafu hela ibaki nyumbani mtoto shuleni. Tutafikiaje malengo hayo?
 
Back
Top Bottom