johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Flyover classesWanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Bwashee nimeona aibu kuweka picha za hayo madarasa!Looh hii ID imekopwa siyo bure!
Everyday is Saturday............................... 😎
Bila picha ni umbeya mkuu.😂Bwashee nimeona aibu kuweka picha za hayo madarasa!
Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Tunawajengea maRais wastaafu migorofa kwanza,wanafunzi waendelee kusubiri budget ijayo.Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Inasemekana Jafo alikuwa anapeleka fedha Halimashauri kwaajili ya utekelezaji wa miradi halafu anakwenda kuzichukua kama payback, hapo zitajengwa shule?Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Hii nchi ina wapigaji aisee!Inasemekana Jafo alikuwa anapeleka fedha Halimashauri kwaajili ya utekelezaji wa miradi halafu anakwenda kuzichukua kama payback, hapo zitajengwa shule?
Jiulize lile bwalo la shule ya sekondari kule Mikindani liliishia skeleton kwa Mil 100,
Wakisimama majukwaani wanaonekana kma waungwana kumbe wasaliti wakubwaHii nchi ina wapigaji aisee!
Tunaomba picha za hiyo shule.Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Huko hawajawahi kuwa na chama tofauti na hiyo ndiyo raha ya kuwa chini ya CCM.Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Ni CCM tangu uhuru mazeeeKwani Ndugai anasemaje? Mbunge wa huko alikuwa anafanya nini au nae anatokea upinzani, watu waliotuchelewesha sana?
Ni 5 TenaWanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!