Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kuna mazingira ukipita nchi hii,unajiuliza iweje x-president anajengewa hausi, kwanini anapewa zawadi ya gari....kuna maeneo watu hawajawahi kunusa hata keki ya taifa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa CCM wameichezea sana hii nchi, hawako kutatua changamoto za wananchi. Shule tu imewashinda kuboresha miaka yote tangu uhuru.Ni CCM tangu uhuru mazeee
Ni chama cha walafi snHawa CCM wameichezea sana hii nchi, hawako kutatua changamoto za wananchi. Shule tu imewashinda kuboresha miaka yote tangu uhuru.
Hawa walafi sana na hawajali kabisa maslahi ya taifa na watu wakeNi chama cha walafi sn
Inasemekana Jafo alikuwa anapeleka fedha Halimashauri kwaajili ya utekelezaji wa miradi halafu anakwenda kuzichukua kama payback, hapo zitajengwa shule?
Jiulize lile bwalo la shule ya sekondari kule Mikindani liliishia skeleton kwa Mil 100,
Dona kauntiriiii
Utajiri wa nini?..upumbavu?Tanzania ni Tajiri.. tumebarikiwa..
Yupo missed... na wengi.. ukiwemo.. hotuba n.k..
ccm hawajawahi kumjali mtanzaniaWanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
wamejaa wapiga diliHawa walafi sana na hawajali kabisa maslahi ya taifa na watu wake
eti wanaiomba ccm. stupid wananchi acha waipate fresh.Wanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Kabla ya tarehe17/3/2021 post kama hii ingepostiwa humu na wapunzani nadhani wangeoga matusi yote kwa huyu aliyeipost leoWanafunzi wa shule ya msingi Ufulaga wilayani Kaliua mkoani Tabora wanasomea kwenye madarasa ya nyasi.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo mh Paulo ameiomba CCM iwasaidie kuboresha mazingira kwani mfadhili wa shule hiyo alikuwa Prof Kapuya ambaye kwa sasa hawajamuona kabisa.
Source: ITV habari
My take; Jaffo alikuwa anajenga madarasa gani awamu ya 5!
Utajiri wa nini?..upumbavu?
How comes leo 2021 kuna watoto wanasomea kwenye mazizi ya ng'ombe?
Waliwahi kutawaliwa na CUF awamu ya jana 2015-2020.Huko hawajawahi kuwa na chama tofauti na hiyo ndiyo raha ya kuwa chini ya CCM.
Awali mbunge wao alikuwa Magdalena Sakaya wa CUF!Huko hawajawahi kuwa na chama tofauti na hiyo ndiyo raha ya kuwa chini ya CCM.
Awali mbunge wao alikuwa Magdalena Sakaya wa CUF!