DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl Gudluck akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Hii shule mbona ilikuwa nzuri sana.Kwamba imebadilika? Nitasikitika kama imebadilika.
 
Nakaa Jiran na hii Shule.

Alaf walivyo wajanja,
Hawakulazimishi ila wanakupa hiyo ratiba ya mwanafunzi na pia wanakuambia wanafunzi wa darasa la nne na la saba hawachukuliwi na school bus, utafute utaratibu wa usafiri wa mtoto wako mwenyewe. (Means umuwaishe hiyo saa 12 na nusu asubuh na uje umchukue saa 11 jion).

Ada boarding ni 3.7 Mill na Day ni 2.8 Mill kwa mwaka.
Sasa utaamua mwenyewe.

Shule hizi za Private zinatutesa kweli wazazi...
Zinatesa wazazi wapumbavu
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl Gudluck akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
kwanini umpeleke mtoto was grade 4 boarding?
 
Pole sana ndugu Mzazi kwa changamoto aliyo ipata mtoto.
Una haki ya kulalamika.
Nakushauri peleka malalamiko kwa mkurugenzi wa shule kwanza.

Natoa maagizo kwa Wizara ya Elimu kukagua shule zote za Bweni, ukaguzi huo ufanyike hususan kwenye maeneo yafuatayo:-
1. Sehemu za kulala /mabwenini.
2. Vyooni, kama vyoo vinakidhi na vinafaa.
3. Chakula
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl Gudluck akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Umeoga matusi mengi pole sana mdau!
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl Gudluck akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Kwann mtoto umpeleke boarding mdogo ivyo
 
Nakaa Jiran na hii Shule.

Alaf walivyo wajanja,
Hawakulazimishi ila wanakupa hiyo ratiba ya mwanafunzi na pia wanakuambia wanafunzi wa darasa la nne na la saba hawachukuliwi na school bus, utafute utaratibu wa usafiri wa mtoto wako mwenyewe. (Means umuwaishe hiyo saa 12 na nusu asubuh na uje umchukue saa 11 jion).

Ada boarding ni 3.7 Mill na Day ni 2.8 Mill kwa mwaka.
Sasa utaamua mwenyewe.

Shule hizi za Private zinatutesa kweli wazazi...
Kulipa ada kama hiyo ni ukichaa ndo maana wezi wanazidi kuongezeka
 
Mm nadhan tusiwalaumu wazazi wanaopeleka Watoto Boarding wakiwa wadogo.

Pengine ni hiyo ratiba ndio imechangia maamuzi ya hao wazazi.
Ni ratiba ambayo inatuma sana na inakugharimu haswaa. Mwanangu nilimkodia bajaji mwaka mzima alimaliza la saba hapo 2022. Mdogo wake nae alikuwa ndio anaingia la saba 2024 nikamuhamisha lakini si kumpeleka boarding.
 
Pole sana ndugu. Ila na sisi wazazi tumezidi yaani mtoto wa primary unampeleka boarding yaani miezi mitatu hujui mtoto anakula nini anaendeleaje maana hao watoto wanatishwa sana wasiseme mambo ya shule. Najua saivi utakuwa tumejifunza kitu.
Jua hakuna mtu duniani anayeweza kumpenda mtoto wako kuliko wewe.
Kwa sisi tulio Soma boarding school za secondary nikiona mtu anampeleka mtoto mdogo primary boarding naona mzazi ni msaliti wa mwanae.
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl Gudluck akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
 
Back
Top Bottom