DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Dogo korokoro Unapeleka boarding, atadundwa achakae.

Yapo matoto manunda yanayoweza kukabiliana na hali yoyote ndio ya kwenda huko, hayo yaliyoiba mswaki wa mwanao.

Ila mkuu sio salama kwa dogo kama huyo kusoma boarding, na pia angalia na ujanja au uzubavu wa mtoto mwenyewe. Watoto wengine hawajui kujichanganya na wenzao, ni wapole kupindukia, hajui kuongea vizuri wala kujitetea nk, hao wanaonewaga sana shuleni.
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Apandacho mtu ndicho atakachovuna!

Utakapokuwa mzee, mtoto wako huyo wa grade IV atakupeleka 'boarding' a.k.a. nyumba ya kulelea wazee...maana inawezekana naye atakuwa busy na majukumu.
 
0


Serikali inasimamia shule zake. Ambazo mtoa mada amezikataa kumpeleka mwanae.

Ndio maana huwezi kukuta huo ujinga kwenye shule za serikali
Sidhani kama kuna shule inatakiwa kujiendesha bila taratibu za serikali. Labda hizo international schools
 
Nakaa Jiran na hii Shule.

Alaf walivyo wajanja,
Hawakulazimishi ila wanakupa hiyo ratiba ya mwanafunzi na pia wanakuambia wanafunzi wa darasa la nne na la saba hawachukuliwi na school bus, utafute utaratibu wa usafiri wa mtoto wako mwenyewe. (Means umuwaishe hiyo saa 12 na nusu asubuh na uje umchukue saa 11 jion).

Ada boarding ni 3.7 Mill na Day ni 2.8 Mill kwa mwaka.
Sasa utaamua mwenyewe.

Shule hizi za Private zinatutesa kweli wazazi...
Kumbe upo jirani na shule, sasa bweni ya nini?, amka sasa, amepata madhara hayo kidogo, kabla makubwa hayajamfika mtoto.
 
Hivi ni lazima sana mwanao asome katika shule yenye taratibu mbovu kiasi hicho!? Hakuna namna yyt nyingine nzuri zaidi kwa mwanao kusoma katika mazingira salama zaidi?

Pole
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Grade 4 unamueka boarding, umefeli kama mzazi
 
Na
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Na Ada ni mamilioni...Sema mtoto kuumia jicho n kawaida utundu wa watoto.
ILa mtoto wa Std 4 boarding asee hapana
 
Mmmh wazazi wa kidigital msiotaka kuwajibika ktk malezi
Mambo mengne mnayataka wenyewe arf baadae muanze kuisumbua serikali
Kuna ulazima gani wa kumtelekeza mtoto mdogo kiasi hicho ?
Ndio maana sahvi tunakuwa na vijana katiri kuliko maelezo hii yote ni sababu ya kukosa upendo na malezi ya wazazi
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
1741535822434.png
 
Hili jambo limenikwaza sana maana mwanangu yuko grade 4 na tayari nimeshaskia fununu kuna utaratibu wa shule kulazimisha watoto wakae boarding kipindi cha likizo...najiandaa kupambana nao vikali.
Suluhisho hapa ni waziri wa elimu apige marufuku hii tabia ya kuwalazimisha wanafunzi darasa la nne kukaa boarding.
 
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.

Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.

Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.

Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.

Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Humu Jf hawawezi kukupa msaada wowote zaidi watakuambia msomeshe mwenyewe mwanao ,humu sikuizi kuna mataila wengi na wanaojifanya wameyapatia maisha ilhali kajambani ni wengi zaidi, na pia asilimia kubwa humu ni walimu so must watetee walimu wenzao,


Pole mkuu inauma sana, chukua Rb na pf3 mpeleke mtoto hospital then kamata mwalimu mkuu na mwenye shule weka ndani,mwanao mpeleke hospital ya serikali na kila nyaraka hifadhi
 
Yaani mtu anakupangia kumpeleka mwanao boarding eti mtihani WA darasa la nne?
Mtihani WA darasa la nne unamsaidia nini sasa?
Me hao walimu wapuuzi WA kusema mwanangu alale shule la nne nikutane nao waone
Wazazi WA dar tuseme kweli sijui ni ushamba au ulimbukeni sijui.
Kwanini wanalazimisha watoto kulala shule? Hayo si ni maamuzi binafsi ya wazazi?
Wazazi wengi malimbukeni kabisa!
 
Mtoto wa La kwanza unataka akae Shule za bweni??? Hivi mzazi unakuwa mwendawazimu au ndo kuchanganyikiwa?????
 
Back
Top Bottom