Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Apandacho mtu ndicho atakachovuna!Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.
Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.
Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.
Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Sidhani kama kuna shule inatakiwa kujiendesha bila taratibu za serikali. Labda hizo international schools0
Serikali inasimamia shule zake. Ambazo mtoa mada amezikataa kumpeleka mwanae.
Ndio maana huwezi kukuta huo ujinga kwenye shule za serikali
Kumbe upo jirani na shule, sasa bweni ya nini?, amka sasa, amepata madhara hayo kidogo, kabla makubwa hayajamfika mtoto.Nakaa Jiran na hii Shule.
Alaf walivyo wajanja,
Hawakulazimishi ila wanakupa hiyo ratiba ya mwanafunzi na pia wanakuambia wanafunzi wa darasa la nne na la saba hawachukuliwi na school bus, utafute utaratibu wa usafiri wa mtoto wako mwenyewe. (Means umuwaishe hiyo saa 12 na nusu asubuh na uje umchukue saa 11 jion).
Ada boarding ni 3.7 Mill na Day ni 2.8 Mill kwa mwaka.
Sasa utaamua mwenyewe.
Shule hizi za Private zinatutesa kweli wazazi...
Ushauri mzuri.Andka barua kwa mwl Mkuu copy peleka kwa mkurugenzi mkuu .anzia hapo
Grade 4 unamueka boarding, umefeli kama mzaziNiko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.
Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.
Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.
Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Primary hakuna masomo magumu, mtoto anaweza somea nyumbani akaenda kufanya mtihani na akafauluHiyo mitihani imeshafutwa. Wazazi wengi hawajui hata sera ya elimu
Na Ada ni mamilioni...Sema mtoto kuumia jicho n kawaida utundu wa watoto.Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.
Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.
Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.
Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.
Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.
Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.
Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Suluhisho hapa ni waziri wa elimu apige marufuku hii tabia ya kuwalazimisha wanafunzi darasa la nne kukaa boarding.Hili jambo limenikwaza sana maana mwanangu yuko grade 4 na tayari nimeshaskia fununu kuna utaratibu wa shule kulazimisha watoto wakae boarding kipindi cha likizo...najiandaa kupambana nao vikali.
Humu Jf hawawezi kukupa msaada wowote zaidi watakuambia msomeshe mwenyewe mwanao ,humu sikuizi kuna mataila wengi na wanaojifanya wameyapatia maisha ilhali kajambani ni wengi zaidi, na pia asilimia kubwa humu ni walimu so must watetee walimu wenzao,Niko visiting day leo hapa shuleni nimekuta mwanangu wa grade 4 kapigwa sana sehemu za jichoni hadi kutafuta hawezi.
Ameibiwa mswaki, dawa, ndoo za kuogea, nguo za michezo nk, kwa kifupi hajaoga zaidi ya wiki mbili, alienda kushtaki kwa Mwl X akamjibu USINISUMBUE.
Mind you walikataa wazazi tusione mabweni wanakolazwa watoto na wakaweka sheria ya std 4 kuanza masomo saa kumi na mbili asubuhi na kutoka saa kumi na moja na nusu jioni kuanzia J3 - Jmosi.
Kwanini wachanganye wanafunzi wa Primary na Secondary bwenini? Kuna uovu mkubwa sana unaendelea pale, najua vyombo husika vifanye uchunguzi maana kwa majibu hayo ya huyo mwalimu inaonekana shule ya Kikatili sana ile.
Nampeleka mtoto hospitali hapa, naombeni msaada wa kisheria wanajukwaa.
Wazazi wengi malimbukeni kabisa!Yaani mtu anakupangia kumpeleka mwanao boarding eti mtihani WA darasa la nne?
Mtihani WA darasa la nne unamsaidia nini sasa?
Me hao walimu wapuuzi WA kusema mwanangu alale shule la nne nikutane nao waone
Wazazi WA dar tuseme kweli sijui ni ushamba au ulimbukeni sijui.
Kwanini wanalazimisha watoto kulala shule? Hayo si ni maamuzi binafsi ya wazazi?