Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: Waziri Ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
 
Taifa linatiwa ulemavu. Elimu inanyimwa kwa raia actively kabisa.

Graduates wa ualimu wanabetisha na kuchezesha mabonanza kisha unapiga stori na mtu anakuambia shule nzima wapo 7 na hawa ndiyo wapo 2.

Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?
 
Ni bora kuwa na walimu 2 kuliko kuwa na walimu 30 wanaofundisha kukata kiuno
 
Taifa linatiwa ulemavu. Elimu inanyimwa kwa raia actively kabisa.

Graduates wa ualimu wanabetisha na kuchezesha mabonanza kisha unapiga stori na mtu anakuambia shule nzima wapo 7 na hawa ndiyo wapo 2.

Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?
Kuna muda huwa nafikiri kama taifa hatuko siriasi na suala la elimu labda kwakuwa watoto wa wakubwa hawasomi hizi shule ndio maana hamna msukumo wa kutatua haya matatizo yanayozikabili
 
Kuna muda huwa nafikiri kama taifa hatuko siriasi na suala la elimu labda kwakuwa watoto wa wakubwa hawasomi hizi shule ndio maana hamna msukumo wa kutatua haya matatizo yanayozikabili
Alipenda ujenzi kuliko elimu
 
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya geita mkoani geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: waziri ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
Afisa elimu Geita,REO Geita, wote ni hewa.waondolewe tu
 
Back
Top Bottom