Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

Serikali inihamishie hapo nikapige kazi.Maana nimeomba sana nihamie Geita ila Mara zote nimekuwa nikikwama.Kwanini serikali isinipeleke hapo?
 
Serikali inihamishie hapo nikapige kazi.Maana nimeomba sana nihamie Geita ila Mara zote nimekuwa nikikwama.Kwanini serikali isinipeleke hapo?
Kwenye shule unayotaka kuhama kuna walimu wa kutosha? Tuanzie hapo kwanza
 
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: Waziri Ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
Kama.mbunge wao anatukana wasomi sasa wanataka walimu wa nini?
 
Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?
Shii punguza sauti.utagusa pabaya.
 
Taifa linatiwa ulemavu. Elimu inanyimwa kwa raia actively kabisa.

Graduates wa ualimu wanabetisha na kuchezesha mabonanza kisha unapiga stori na mtu anakuambia shule nzima wapo 7 na hawa ndiyo wapo 2.

Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?

Naunga mkono hoja
 
Taifa linatiwa ulemavu. Elimu inanyimwa kwa raia actively kabisa.

Graduates wa ualimu wanabetisha na kuchezesha mabonanza kisha unapiga stori na mtu anakuambia shule nzima wapo 7 na hawa ndiyo wapo 2.

Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?
👊👊
 
Mfano tukianzisha movement ya wabunge kulipwa nusu ya wanacholipwa sasa ili kupata pesa ya kuhudumia mambo mengine si ni sawa tu?
Shii punguza sauti.utagusa pabaya.
Movement sio tatizo bali tatizo ipo kwenye kuipitisha hiyo hoja maana wa kuipitisha ndio hao hao unaotaka mishahara yao ikatwe, unafikiri watakubali?
 
Back
Top Bottom