Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

Shule ya Sekondari yenye Walimu wawili Mkoani Geita yaililia Serikali

Jiwe ameidhoifisha sana Elimu.
Elimu haikuwa kipaumbele chake bora hata mapenzi ya Mungu yalivyotimia angeendelea kuwapo tungejikuta tumetengeneza taifa la vilaza watupu
 
Yaani hii Geita ya Mkuu wa Wachungaji injinia Gabrieli mlamba miguu namba moja , hawa ambao wana soko kuu la dhahabu dunia nzima wanashindwa na hivi vitu pet, siamini hawa jamaa ni matajiri jamani msiwadhalilishe nasema haiwezekani, hata kitovu cha utalii kiko kule chattle
 
Mwendazake alikua mshamba sana wa madaraka!

Viatu vya u Rais vilimpwaya sana yule jamaa..
 
Kuna muda huwa nafikiri kama taifa hatuko siriasi na suala la elimu labda kwakuwa watoto wa wakubwa hawasomi hizi shule ndio maana hamna msukumo wa kutatua haya matatizo yanayozikabili
Na ndo iko hvyo,na wew mtu wa kawaida kama una malengo mazuri na mwanao usimpeleke hz shule za serikal
 
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya geita mkoani geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: waziri ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
Ingekuwa shule ya msingi ningesema lolote, ila kwa secondary Msukuma wenyewe kaona elimu ya juu haina maana, bora ya darasa la 7, sasa wanacholalamikia wasukuma ni nini?
 
Msukuma kasema la saba watatatua kila kitu
Basi akasaidie hiyo shule kama mwalimu wa fizikia na hesabu ili kupunguza tatizo la uhaba wa walimu lililopo
 
Afisa elimu Geita,REO Geita, wote ni hewa.waondolewe tu
Kuwaondoa hao maafisa elimu ni kuwaonea tu maana uhaba wa walimu ni tatizo la nchi nzima halipo geita peke yake na yote haya yalisababishwa na marehemu jiwe kujali maendeleo ya vitu kama vile ununuzi wa ndege ambazo hazina faida huku akiacha sekta nyeti na muhimu za afya na elimu zikidorora kwa kukosa raslimali watu
 
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: Waziri Ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
Serikali siilisema walimu wameajiriwa kibao imekuwaje tena[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu wa mkoa wa geita yupo na kaziara uchwara ka kikagua miradi ya elimu na afya.


Kila sehemu ana ahidi kujenga mabweni, madarasa ya ghorofa na miradi kedekede mkoam mzima utatumia kama tiliioni 80 kwa mwaka!


Huyu anapiga uongo wa 1080BC na maneno yake ya kichungaji wa fisi.
 
Shule ya sekondari magema iliyopo halmashauri ya wilaya ya Geita mkoani Geita ina walimu wawili tu hali inayopelekea idadi kubwa ya wanafunzi kushindwa kufundishwa masomo mengine yakiwemo ya sayansi kutokana na uhaba wa walimu.

Wakizungumza na kituo cha ITV, wanafunzi katika shule hiyo wameiomba serikali kuwaongezea walimu kutokana na walimu wawili waliopo kutokidhi kufundisha masomo yote.

Source: ITV

My take: Waziri Ummy harakisha mchakato wa ajira 6000 zilizotangazwa na Rais Samia kutatua tatizo hili ili wanafunzi hawa wapate elimu bora waweze kutimiza malengo na ndoto zao za kielimu.
Msukuma ndo anakwamisha, ili wengine nao wasisome kama yeye
 
DED wa Geita alinunua Vieitte wakati hana hata Waalimu!
Shame on him!
 
Back
Top Bottom