Ukishajifunza kuandika vizuri, rudi hapa na hoja iliyonyooka.Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
Kama mtu anafika kidato cha kwanza hajui kuandika wala kusoma, unadhani hilo jukumu analibeba nani? Mimi? Give me a break!Kwa iyo if u were incharge, what would you do, maana kulaumu ni kazi rahisi sana.
Hakuna viambishi viwakilishi vya nomino! Acha porojo!Rekebisha hapo nimeweka nyekundu, kajifunze ngeli, na viambishi viwakilishi vya nomino.
Huo ni ugatuzi, gatuzi ndio 'county'.
njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...
Hakuna viambishi viwakilishi vya nomino! Acha porojo!
Kipumuo? Okay... sasa ni kwamba hakuna kiambishi kiwakilishi cha nomino! Viambishi ni kwa ajili ya vitenzi tu!Ni kwamba sikuweka kipumuo au kituo ila pitia hapa chini utajifunza kitu
Viambishi | Paneli la Kiswahili
Kiambishi ni silabi inayofungamanishwa na mzizi wa neno ili kuleta maana iliyokusudiwa.swa.gafkosoft.com
Nikueleze tu kwamba, kusikiliza Kiswahili cha mkenya ni aibu. Unaweza kutamani kuziba masikio kwa kipande cha gazeti!!At theendoftheday..baada ya malalamishi na mihemko ya waTZ inasalia: Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
Halafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweliNikueleze tu kwamba, kusikiliza Kiswahili cha mkenya ni aibu. Unaweza kutamani kuziba masikio kwa kipande cha gazeti!!
Kilichotokea ni kwamba ninyi mko shapu kuchangamkia fursa hata kama hamuwezi. Ni sawa na kiwete anayegangamara kukimbia riadha!
kiswahili na chuo kikuu cha Dar es Salam wapi na wapi...kiswahili ni cha wapwani bwana...we km ni m'bara hakikusu ndugu...(wajuwa) mbna si neno la kiswahili...uandishi tu ndio umeniponza...sasa na mi pia nikuulize...kw akili zako hzo unataka kunambia samani na thamani ni visawe....manake mi najaribu kuwafunza wanaopenda kulitumia hilo neno vibaya...we unakuja kupayuka payuka tu hapa km mjusi..Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
hyo n boya tu...nn anachojua zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka baraHalafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweli
Nafikiri umesisitiza vizuri tena sana. 👏hyo n boya tu...nn anachojuwa zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka bara
Mwalimu mkenya ni mkenya tu! Kiswahili chake lazima kiwe na matege!Halafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweli
Umezaliwa lini wewe? Unazijua fasihi za mwandishi nguli Shaaban Robert? Kuna mkenya yoyote anaweza angalau kufikia robo ya ubingwa wake?? SAHAU!hyo n boya tu...nn anachojua zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka bara