Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya

Ki ukweli kabisa wakenya wapo vzuri kwenye kiswahili especially wale wanotoka ukanda wa pwani. Watz wengi wanashindwa kutofautisha R and L. dha wanatumia za na tha wanasema sa. Very sad. Unakuta mtu amemaliza mpaka chuo kikuu lakini still hawezo tofautisha hiyo
Ukishajifunza kuandika vizuri, rudi hapa na hoja iliyonyooka.
 
Kwa iyo if u were incharge, what would you do, maana kulaumu ni kazi rahisi sana.
Kama mtu anafika kidato cha kwanza hajui kuandika wala kusoma, unadhani hilo jukumu analibeba nani? Mimi? Give me a break!
 
At theendoftheday..baada ya malalamishi na mihemko ya waTZ inasalia: Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya
 
Huo ni ugatuzi, gatuzi ndio 'county'.

ugatuzi ni kitenzi na nomino yake ni jimbo.
kwa kiingereza ugatuzi inaitwa decentralisation na jimbo ni county.
Pitia upya aina saba za maneno utapata maana zaidi.
 
njoo katika forum ya mombasa toa donge lako na hicho kiherehere cha kwamva wajuwa kiswahili au na hayo makosa yako ya kijinga..hku utakimbia..kila mtu anapiga kiswahili safi kabisa...hamna cha samani,zahabu,mara siliazi,lamani...

Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
 
Ni kwamba sikuweka kipumuo au kituo ila pitia hapa chini utajifunza kitu
Kipumuo? Okay... sasa ni kwamba hakuna kiambishi kiwakilishi cha nomino! Viambishi ni kwa ajili ya vitenzi tu!

Ninyi mkifundisha Kiswahili mtazidi kuchafua sarufi!
 
At theendoftheday..baada ya malalamishi na mihemko ya waTZ inasalia: Shule za Afrika Kusini kuanza kufunza Kiswahili baada ya kuingia makubaliano na Kenya
Nikueleze tu kwamba, kusikiliza Kiswahili cha mkenya ni aibu. Unaweza kutamani kuziba masikio kwa kipande cha gazeti!!

Kilichotokea ni kwamba ninyi mko shapu kuchangamkia fursa hata kama hamuwezi. Ni sawa na kiwete anayegangamara kukimbia riadha!
 
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
 
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
 
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
 
Nikueleze tu kwamba, kusikiliza Kiswahili cha mkenya ni aibu. Unaweza kutamani kuziba masikio kwa kipande cha gazeti!!

Kilichotokea ni kwamba ninyi mko shapu kuchangamkia fursa hata kama hamuwezi. Ni sawa na kiwete anayegangamara kukimbia riadha!
Halafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweli
 
Nyakati nyingine kukaa kimya kunasaidia kuficha ujinga.
ona uozo ulio andika.
unajua maana ya neno samani na unajua ni neno la kawaida sana katika maisha yetu ya kila siku.
halafu wajuwa halipo kwenye kamusi kuu ya kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Usipende kuropoka ropoka. Unaweka wazi aibu yako.
kiswahili na chuo kikuu cha Dar es Salam wapi na wapi...kiswahili ni cha wapwani bwana...we km ni m'bara hakikusu ndugu...(wajuwa) mbna si neno la kiswahili...uandishi tu ndio umeniponza...sasa na mi pia nikuulize...kw akili zako hzo unataka kunambia samani na thamani ni visawe....manake mi najaribu kuwafunza wanaopenda kulitumia hilo neno vibaya...we unakuja kupayuka payuka tu hapa km mjusi..

warukia mashaza matako wazi...utapasuka mkundu wewe
 
Halafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweli
hyo n boya tu...nn anachojua zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka bara
 
hyo n boya tu...nn anachojuwa zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka bara
Nafikiri umesisitiza vizuri tena sana. 👏
 
Halafu nikueleze pia.. Ni walimu wa Kiswahili wanaenda kufunza.. Sio waKenya kwa jumla. waKenya wengi nakubali Kiswahili chetu si nzuri vile kwa sababu moja au nyingine lakini walimu wetu ndugu! Walimu wetu wa Kiswahili wanalitambua sana lugha..hata kuwaliko nyie, na si kujigamba lakini huo ndio ukweli
Mwalimu mkenya ni mkenya tu! Kiswahili chake lazima kiwe na matege!
 
hyo n boya tu...nn anachojua zaidi ya kukarishwa maneno tu...hao hao wakenya anaowadharau..mbn ni waandishi wazuri tu wa vitabu...mwambia akutajie waandishi wa vitabu kutoka tanzania bara....hawa jamaa hawana kitu...kiswahili ni cha watu kutoka pwani(kenya,tanzania) na zanzibar...we km hutoki hayo maeneo hakikuhusu...hta pia ukichunguza watu wengi wenye makosa ya uandishi na herufi katika kiswahili..ni watu wa kutoka bara
Umezaliwa lini wewe? Unazijua fasihi za mwandishi nguli Shaaban Robert? Kuna mkenya yoyote anaweza angalau kufikia robo ya ubingwa wake?? SAHAU!
 
Back
Top Bottom