babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Ndo maana mtu wa Mombasa hawezi sema Nishasoma anatamka na kuandika nshasomaUsafi wa Kiswahili unaupataje au unaujuaje ?
Mombasa wanaongea Kiswahili cha lahaja na si Kiswahili sanifu kwa maana kilichoteuliwa.
Ndio maana leo hii hatusemi ya kuwa "Mato" au "Kitwa" ni Kiswahili sanifu bali "Macho" na "Kichwa" ndio Kiswahili sanifu. Japokuwa "Mato" na "Kitwa" ni Kiswahili pia.
Au nakuuliza swali rahisi wewe marejeo yako ya kujua ufasaha wa Kiswahili ni wapi ?
Ndo maana mtu wa Mombasa hawezi sema Nishasoma anatamka na kuandika nshasoma
Ni bora nivumilie kusikiliza Kiswahili cha Kenya kuliko kumsikiliza mtanzania anayeongea au kuandika Kiswahili cha hovyo!
Hongera Wakenya kwa kuchangamkia fursa! Tz kuna majitu mazuzu sana wasioweza lugha yoyote!
Kwa kutumia lenzi mbinuko!Unajuaje Kiswahili cha hovyo ?
Hatujakataa..ila tunawahurumia AK maana watapata Kiswahili cha hovyo hapa DunianiLow IQ Post. Kwa hiyo Kanada akiingia makubaliano na China au Korea kufundisha Kiingereza badala ya USA au Uingereza kuna tatizo? Au Belgium akaingia makubaliano kufundisha Kifaransa badala ya Ufaransa au Ivory coast kutakuwa na tatizo?
AK wanaweza hata kuingia makubaliano na Kongo Mashariki kufundisha Kiswahili sioni tatizo hapo.
Kwa kutumia lenzi mbinuko!
wuhuuuu..halafu hyo ni ya hko kwenu...km vile ugoro kwetu na kwenu ni ugolo..hayo ni matatizo yakwenu..bwahahaaaSio "Alafu" sahihi ni "Halafu".
Tuendelee...
kun jamaa hapa kasema kiswahili hakiwahusu wabara..kuna wengine wakaanza kutema mapovu...nashuku hao jamaa ni wa kutoka tanzania bara kwel...si wajikubali km wabara wa kenya...wanajikubali km kiswahili hakiwahusu...Ila baada ya haya majivuno yote, bado inasalia kuwa waKenya wanazidi AFRIKA KUSINI kufunza KISWAHILI
Ngoja isidingo iwe bongo muviAfrika ya Kusini wamefanya mabadiliko ya mfumo wao wa elimu,sasa wataanza kusoma Kiswahili badala ya Kifaransa na Kireno.
Kutokana na maamuzi haya,Serikali ya Afrika ya Kusini imeingia Makubaliano rasmi na Serikali ya Kenya ili Kenya ipeleke wataalam wake kwenda kufundisha Kiswahili nchini Afrika ya Kusini.
[emoji15]Haya mambo hayaaaaaa[emoji15]
Yale yale, eti kutuwakirishaPumbavu sana wewe! Umeniudhi na likiswahili lako!
Ni bora nivumilie kusikiliza Kiswahili cha Kenya kuliko kumsikiliza mtanzania anayeongea au kuandika Kiswahili cha hovyo!
Hongera Wakenya kwa kuchangamkia fursa! Tz kuna majitu mazuzu sana wasioweza lugha yoyote!
Punguza kutumia mihemuko kuongea ili uonekane upo right,Mimi mkuu nimesema hapa watu wanatetea. Tx kiswahili kwenye makaratasi ni kitamu sana. Sasa mtafute Mtz tena msomi tu mwambie aandije au aongee kiswahili, utakimbia.
Tofauti kati ya kiunguja na Kimvita ni kidogo sana.Usafi wa Kiswahili unaupataje au unaujuaje ?
Mombasa wanaongea Kiswahili cha lahaja na si Kiswahili sanifu kwa maana kilichoteuliwa.
Ndio maana leo hii hatusemi ya kuwa "Mato" au "Kitwa" ni Kiswahili sanifu bali "Macho" na "Kichwa" ndio Kiswahili sanifu. Japokuwa "Mato" na "Kitwa" ni Kiswahili pia.
Au nakuuliza swali rahisi wewe marejeo yako ya kujua ufasaha wa Kiswahili ni wapi ?