Ndugu Wazazi kuweni makini sana na watoto wenu wanaosoma shule za binafsi kwa sababu kuna mtoto wa rafiki yangu yupo darasa la nne shule X walikuwa wanafanya mtihani wa darasa la nne WILAYA sasa kuna mwl alikuwa anasimamia hiyo shule na anafahamiana na mzazi wa huyo mtoto wake anayesoma hiyo shule.
Hiyo shule watoto walipangwa kucheat siku ya mtihani kwa kupangwa wenye uwezo wanakaa karibu na asiye na akili sana darasani.
Mwl akastukia mtego akawapangua wote na kuwakagua wote upya wengine wameandika majibu kwenye mapaja. Yule mwalimu akamueleza yule mzazi kuhusu hicho kisa. Mzazi kumuuliza mtoto kuhusu kudsnganya akakataa mpaka alipomchapa ndio mtoto akaanza kuelezea sasa.
Unaweza kuona visa hivi vilivyo! Watoto wanaambiwa ole wako ukaseme tutakuchapa hii inamuingia akiwa mdogo kwa hiyo ata akifanyiwa kitu kibaya hasemi.
Serikali iwe serious sana na hizi shul watu wanalipa 3m zinaangalia ufaulu tu na sio mtoto awe na knowledge ya kujitegemea.,
Hiyo shule watoto walipangwa kucheat siku ya mtihani kwa kupangwa wenye uwezo wanakaa karibu na asiye na akili sana darasani.
Mwl akastukia mtego akawapangua wote na kuwakagua wote upya wengine wameandika majibu kwenye mapaja. Yule mwalimu akamueleza yule mzazi kuhusu hicho kisa. Mzazi kumuuliza mtoto kuhusu kudsnganya akakataa mpaka alipomchapa ndio mtoto akaanza kuelezea sasa.
Unaweza kuona visa hivi vilivyo! Watoto wanaambiwa ole wako ukaseme tutakuchapa hii inamuingia akiwa mdogo kwa hiyo ata akifanyiwa kitu kibaya hasemi.
Serikali iwe serious sana na hizi shul watu wanalipa 3m zinaangalia ufaulu tu na sio mtoto awe na knowledge ya kujitegemea.,