DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,749
Reaction score
7,945
Baada ya katazo la kuendeleza kuweka wanafunzi kipindi cha likizo, Diamond na Olympio wameendelea kushurtisha watoto kwenda shule ikiwemo darasa la nne.

Darasa la Saba wameshurtishwa kuvaa nguo za nyumbani ili kufanya kiini macho.

Huduma ya school bus imebidi kusitishwa kwa darasa la 4 kutokana na watoa huduma kusimamishwa na Traffic kuhojiwa kwanini wanasafirisha watoto ikiwa shule zimefungwa.

Je, kuna faida binafsi ambazo hizo shule zinapata watoto wakienda shule kiasi cha kukiuka amri za serikali??

Je, lile katazo lilikuwa la kiini macho tu huku nyuma ya pazia hizi tuition za kuforce zina baraka ya serikali?

Je, serikali imeshindwa kufuatilia maagizo yake kiasi cha shule kufanya zitakavyo?
 
Baada ya katazo la kuendeleza kuweka wanafunzi kipindi cha likizo, Diamond na Olympio wameendelea kushurtisha watoto kwenda shule ikiwemo darasa la nne.

Darasa la Saba wameshurtishwa kuvaa nguo za nyumbani ili kufanya kiini macho.

Huduma ya school bus imebidi kusitishwa kwa darasa la 4 kutokana na watoa huduma kusimamishwa na Traffic kuhojiwa kwanini wanasafirisha watoto ikiwa shule zimefungwa.

Je, kuna faida binafsi ambazo hizo shule zinapata watoto wakienda shule kiasi cha kukiuka amri za serikali??

Je, lile katazo lilikuwa la kiini macho tu huku nyuma ya pazia hizi tuition za kuforce zina baraka ya serikali?

Je, serikali imeshindwa kufuatilia maagizo yake kiasi cha shule kufanya zitakavyo?
hata huku Tanga bado watoto wanaenda shule na wanawambia kuwa kila somo watalipia
 
Njaa tu zawalimu wadundulize mia mbili mia mbili
Na ni njaa kweli maana sioni kumekuwa na umuhimu mkubwa wa kiasi gani kupeleka wanafunzi shule kipindi cha likizo hasa darasa la 4.

Wanataka kutuaminisha wana machungu na watoto wetu kuliko sisi wenyewe??

Njaa za walimu zimezidi sasa.

Principal akipigiwa jibu analotoa ni kuwa hawana maagizo yeyote toka serikalni.
 
Baada ya katazo la kuendeleza kuweka wanafunzi kipindi cha likizo, Diamond na Olympio wameendelea kushurtisha watoto kwenda shule ikiwemo darasa la nne.

Darasa la Saba wameshurtishwa kuvaa nguo za nyumbani ili kufanya kiini macho.

Huduma ya school bus imebidi kusitishwa kwa darasa la 4 kutokana na watoa huduma kusimamishwa na Traffic kuhojiwa kwanini wanasafirisha watoto ikiwa shule zimefungwa.

Je, kuna faida binafsi ambazo hizo shule zinapata watoto wakienda shule kiasi cha kukiuka amri za serikali??

Je, lile katazo lilikuwa la kiini macho tu huku nyuma ya pazia hizi tuition za kuforce zina baraka ya serikali?

Je, serikali imeshindwa kufuatilia maagizo yake kiasi cha shule kufanya zitakavyo?
 

Attachments

  • BE22CDA5-D5E0-4067-A4FE-E24ED198D0C8.jpeg
    BE22CDA5-D5E0-4067-A4FE-E24ED198D0C8.jpeg
    23 KB · Views: 6
Ila jamani hivi kwa nini tunaona maisha ni kwenda shule tuuuu! Maarifa mengine watoto watajifunza saa ngapi?
Seminari za kikatoliki ni nzuri sana. Mnapofunga shule mnaambiwa mwende moja kwa moja nyumbani na ni mwiko kusoma tuisheni. Watoto huambiwa likizo ni muda wa kusaidia wazazi kazi
 
Mzazi usipeleke mwanafunzi shule wakati wa likizo
Mimi hua hawaendi Kwa Kweli nawasikiliza nawakubalia likizo ikianza wanakaa nyumbani,wakifungua naenda namwambia Mwl wanangu walikua na dharura baasi...kuepusha nongwa,na wote wa Saba alipata wastani wa A wa la nne NAE kascore A average
Yaani likizo mwanangu atapumzika regardless anything Mimi nilisoma na nikafaulu likizo sikuwahi enda shule
 
Watoto wanalipa 500# per day afisa elimu msingi ananufaika kuliko mnavodhani Wana posho zao hao
Huu ni mradi batili unaotaka kuhalalishwa kwa kisingizio cha watoto kuhitaji masomo ya ziada.

Inapaswa tujifunze kujua umuhimu wa kila jambo katika maisha. Kama vile elimu ilivyo muhimu, halkadhalika na mapumziko ya mtoto nayo ni muhimu vile vile.

Ikiwa mtu mzima anaefanya kazi anachukua likizo kwanini iwe tofauti kwa mwanafunzi???

Hata huyo mwalimu anahitaji kupumzika ili akili yake ifanye kazi vyema akiwa anafundisha.
 
Back
Top Bottom