DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nachukulia kawaida maana hata huku mtaani wapo busy kwenda tuishen asubuh kurudi jioni sasa maana ya likizo iko wapi hapo
sasa watoto wakiwa wanaenda shule muda wa mapumziko, likizo itakuwa na maana gani, si tunawachosa tu.... au wewe hili unachukuliaje
 
Back
Top Bottom