DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

DOKEZO Shule za Diamond na Olympio zipo Juu ya Sheria?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nenda kwa AFISA ELIMU MKOA AU WILAYA kaandike barua rasmi na kuwaelezea hali halisi... ushauri tu
 
Huku kwetu wamesema watoto walio tayari waende na 5000 kama hutaki baki nyumbani. Hawalazimishi.
 
Huku watoto wanaenda lakini ni bure.

Hii kulipia sometimes ni upigaji wa walimu tu, mbona enzi zetu ilikua ni walimu wenyewe wanawaomba muendelee kusoma bila malipo yoyote ili tu wawaweke fiti. Walimu walikua wanajitolea.

Hizi shule za private wanachofanya sio sawa, maana mzazi analipa pesa kubwa akitegemea mwanae asome kwa mihula yote kwa pesa aliyolipia kwa mwaka husika. Sasa kuingizia gharama nyingine sio sawa.

Ila kwa shule za government hasa hizi day schools huu utaratibu ni wa kawaida tu kwq miaka mingi. Kwasababu ni waz kua hizi shule changamoto ni nyingi mno kwa wanafunzi na walimu, kipindi hiki cha likizo kisicho na msongamano wa ratiba ndo hukitumia kuziba magape.
 
Mimi hua hawaendi Kwa Kweli nawasikiliza nawakubalia likizo ikianza wanakaa nyumbani,wakifungua naenda namwambia Mwl wanangu walikua na dharura baasi...kuepusha nongwa,na wote wa Saba alipata wastani wa A wa la nne NAE kascore A average
Yaani likizo mwanangu atapumzika regardless anything Mimi nilisoma na nikafaulu likizo sikuwahi enda shule
Likizo mtoto hatakiwi baki shule, hata hupaswi toa maelezo mengi
 
Baada ya katazo la kuendeleza kuweka wanafunzi kipindi cha likizo, Diamond na Olympio wameendelea kushurtisha watoto kwenda shule ikiwemo darasa la nne.

Darasa la Saba wameshurtishwa kuvaa nguo za nyumbani ili kufanya kiini macho.

Huduma ya school bus imebidi kusitishwa kwa darasa la 4 kutokana na watoa huduma kusimamishwa na Traffic kuhojiwa kwanini wanasafirisha watoto ikiwa shule zimefungwa.

Je, kuna faida binafsi ambazo hizo shule zinapata watoto wakienda shule kiasi cha kukiuka amri za serikali??

Je, lile katazo lilikuwa la kiini macho tu huku nyuma ya pazia hizi tuition za kuforce zina baraka ya serikali?

Je, serikali imeshindwa kufuatilia maagizo yake kiasi cha shule kufanya zitakavyo?
Acha chuki.
Bila shaka wewe ni KE.
 
Hilo agizo halija zingatia agizo la TUNATAKA UFAHULU WA 100% . Labda km wewe siyo Mtanzania ndo hujui kuwa Tanzania MATAMKO NI ZAIDI YA SHERIA.

Pamoja na hayo,walimu nao wana jipatia kipato cha ziada ijapo siyo wote.
Ninako ishi mimi wanangu wanasoma private school na ni mpya,wazazi tumeombwa kuwaruhusu wanafunzi wakasome japo masaa ma 3 kwa siku huku mzazi akigharamia usafiri.

Binafsi nimeona kuwa ni jambo jema na ninawapeleka na kuwafuata.
 
Acha chuki.
Bila shaka wewe ni KE.
Chuki kuthamini afya ya akili ya mwanangu kutaka apumzike??

Tatizo la nyie wenye jinsia ya kike ni kuhisi kila kitu ni chuki hata pale palipo na ukweli. Wengi ya waopinga na kuona hii ni chuki aidha ni walimu ama wake (kama wewe) ama waume wa walimu. Wanahisi mradi wao umeshambuliwa wa kupata ruzuku kwa madai ya kusomesha watoto masomo ya ziada.

Mzazi anaelazimisha mtoto wake asiende likizo ni mpumbavu, mbinafsi na hakupaswa kuwa mzazi.
Mtoto asilimia 85 ya mwaka yupo shule, hiyo asilimia 15 itumieni kuwajua watoto wenu kiundani kipindi cha likizo.

Mnakuja shangaa tu mtoto amekuwa shoga na kuanza kutafuta mchawi kumbe mchawi ni mzazi mwenyewe kutotaka kukaa na mwanao kiasi cha kugundua tofauti ama mabadiliko ya kitabia.
 
Chuki kuthamini afya ya akili ya mwanangu kutaka apumzike??

Tatizo la nyie wenye jinsia ya kike ni kuhisi kila kitu ni chuki hata pale palipo na ukweli. Wengi ya waopinga na kuona hii ni chuki aidha ni walimu ama wake (kama wewe) ama waume wa walimu. Wanahisi mradi wao umeshambuliwa wa kupata ruzuku kwa madai ya kusomesha watoto masomo ya ziada.

Mzazi anaelazimisha mtoto wake asiende likizo ni mpumbavu, mbinafsi na hakupaswa kuwa mzazi.
Mtoto asilimia 85 ya mwaka yupo shule, hiyo asilimia 15 itumieni kuwajua watoto wenu kiundani kipindi cha likizo.

Mnakuja shangaa tu mtoto amekuwa shoga na kuanza kutafuta mchawi kumbe mchawi ni mzazi mwenyewe kutotaka kukaa na mwanao kiasi cha kugundua tofauti ama mabadiliko ya kitabia.
Mzuhie mwanao asiende uone km kuna mtu atakuuliza. La sivyo hizo ni chuki zako.
 
Pamoja na hayo,walimu nao wana jipatia kipato cha ziada
Hiki hasa ndio kiini cha haya mambo yote.
Hakuna wito ama ari aliyokuwa nayo mwalimu zaidi ya kujipatia kipato cha ziada.

Usiruhusu afya ya akili ya mwanao kufanywa mtaji.

Ikiwa mashine tu inapumzishwa, sembuse binadamu?
 
Mzuhie mwanao asiende uone km kuna mtu atakuuliza. La sivyo hizo ni chuki zako.
Tatizo unatumia mihemko kujibu na sio hoja.

Uza hata karanga mama, usifosi kupata ruzuku ya kujifanya mnataka kusomesha watoto kipindi cha likizo ilhali ni matumbo yenu ndio mnayoyafikiria.
Mpwayungu Village msaada huku. Kuna teacher linafosi kuhalalisha njaa yake.
 
Chuki kuthamini afya ya akili ya mwanangu kutaka apumzike??

Tatizo la nyie wenye jinsia ya kike ni kuhisi kila kitu ni chuki hata pale palipo na ukweli. Wengi ya waopinga na kuona hii ni chuki aidha ni walimu ama wake (kama wewe) ama waume wa walimu. Wanahisi mradi wao umeshambuliwa wa kupata ruzuku kwa madai ya kusomesha watoto masomo ya ziada.

Mzazi anaelazimisha mtoto wake asiende likizo ni mpumbavu, mbinafsi na hakupaswa kuwa mzazi.
Mtoto asilimia 85 ya mwaka yupo shule, hiyo asilimia 15 itumieni kuwajua watoto wenu kiundani kipindi cha likizo.

Mnakuja shangaa tu mtoto amekuwa shoga na kuanza kutafuta mchawi kumbe mchawi ni mzazi mwenyewe kutotaka kukaa na mwanao kiasi cha kugundua tofauti ama mabadiliko ya kitabia.
Ukiwa irresponsible parent km wewe hayo yooote unayo hisi yatatokea. Mtoto ni wa dada wa kazi,hufahamiani na mwl hata mmoja wa mwanao,kuonana na mwanao ni surprise,wewe na mtoto ni maadui nk.

Usikurupuke kufikiri,tulia na fanya assessment kwa umakini,utayajua mengi anayopitia mwanao.

Ndio,wapo ambao huruhusu watoto wao kuwa shule kipindi cha likizo kwakuwa hawana wa kuwa naye nyumbani,ama ni msumbufu au hana wa kucheza naye karibu. Hilo ni kosa kubwa sana.
 
Kama una mawasiliano ya walimu wakuu wa shule hizo nitumie pm tujue ukweli wa hili.

Hizo shule nazifahamu vema.
 
Hiki hasa ndio kiini cha haya mambo yote.
Hakuna wito ama ari aliyokuwa nayo mwalimu zaidi ya kujipatia kipato cha ziada.

Usiruhusu afya ya akili ya mwanao kufanywa mtaji.

Ikiwa mashine tu inapumzishwa, sembuse binadamu?
Kiini kwa shule za serikali ni UFAHULU WA 100% BILA KUWA MWL NDIYE ANAYE FAHULU AU MWANAFUNZI.
SASA ILI MAMBO YAKAE VIZURI WALIMU NAO WANAWEKA KA MCHANGO.

LKN,MBONA TUNAPINGA LIKIZO TU NA HATUPINGI WANAFUNZI HASA WA SHULE ZA MSINGI KWENDA SHULE SIKU ZA JUMAMOSI? AU HUWA HATUWAONI?
 
Back
Top Bottom