Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,113
Si awe nao wote wawili tu?Mkuu Kuna Mdada humu alikuwa anakuzimikia Balaa,
Tangu ulivyotaja Kwenye ule Uzi uliopita Kuwa Luna MTU unamzimikia Kuna comments Aliitoa Mzigua90 kuwa
Anapenda Mkaka wa Kikurya na Akatoa sababu kuwa anapenda mkurya kwasababu anapenda zile Amsha Amsha,mapenzi Au Shoo za Kibabe...naomba aje hapa Akiri!
Mkuu umekula kibuti ,km Mimi kwa mwafulani wa humuMi nampendaga Victorie, kitu alichonijibu sina hamu
Si umtafute humu ndani yumo.Shunie " ndo nani ajitokeze basi.sisi wengine hatumjui
Hahaaa. Jibu lako haliendani na jina lako ...Si awe nao wote wawili tu?
HahahaBado wewe tu
Hahaha
Moyo tulia,jf kuna vya watu
We toa kwa umpendae, ila mie naongea na moyo wanguKwahyo niache tu nisitoe ya moyoni?
Huo moyo wako sioWe toa kwa umpendae, ila mie naongea na moyo wangu
Ndio ni moyo wa sakayo nauambia utulie!!Huo moyo wako sio
Basi ngoja nibaki na maneno yangu moyoniNdio ni moyo wa sakayo nauambia utulie!!
Hupigwa kwa pindo la kanga au kitenge.[emoji324]
Kweli kabisa...!Ndio ila sio Makonde. Teh.
Hahahaaaaaaa eti AC aiseeeAcheni kumkatisha tamaa mwenzenu. Kila mtu Mungu amempangia riziki yake na namna ya kuipata, kwani GENTAMYCINE akimmiliki mtoto Shunie atakuwa amevunja ibara gani ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Au huyo anaye mmiliki ana kipi cha zaidi ambacho mkuu GENTAMYCINE hana? Au ya kwake ina AC ndani? Mkuu GENTAMYCINE kila la heri nakuombea ufanikiwe! Na wewe Shunie usomapo uzi huu usifanye moyo wako kuwa mgumu, tazama GENTAMYCINE anabisha hodi, endapo utafungua mlango wa moyo wako, basi ataingia kwako na kufanya makao
We najua ni team vibongeeeBasi ngoja nibaki na maneno yangu moyoni
Haha wala mm Mzee wa portable na flatWe najua ni team vibongeee
Hahaha...Haha wala mm Mzee wa portable na flat
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usiniangushe tafadhali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako
Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Mtoto mkali kama Shunie hawezi kwenda kwa mwanaume mmbeya namna hiyoUwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama Wewe ni mchawi / kigagula ila leo nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.
Nina sifa moja kubwa kama pia si zawadi niliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kujua sana kuchagua vitu vizuri, sahihi na makini na kamwe sijawahi kukosea hivyo nakuomba popote pale ulipo kuanzia sasa tena ikibidi ringa na tamba kabisa huku ukijiita Mrs. GENTAMYCINE kwani Moyo wangu Kwako umeshakufa Kitambo hivyo Kazi Kwako Wewe tu Kuuzika.
Bahati nzuri sijawahi Kumtongoza Mwanamke yoyote humu Jamvini tokea nijiunge rasmi hivyo asikutishe ' Kinyankera ' yoyote kuwa sijui nimeshawahi kumtokea au kumbandua / kumbaioloji ila Wewe ndiyo wa Kwanza hivyo jiamini huku ukitembea kifua mbele kuwa Wewe sasa ndiyo Mrs. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.
I love you so much Shunie mwaaaaaaaahhhhhhhhhh.....pokea rasmi hilo busu langu la thamani kubwa lililojaa ' mahaba ' ya Kimataifa.
Penzi ni Kikohozi na kulificha siwezi.
Nawasilisha.