Shunie: The thread is special for you.

Yaan nimefunga nina mwaka na kitu mambo ya humu yanachosha sana utasalimiwa mara kumi kwa siku na maswali maswali yasiokuwa na kichwa wala miguu mxcieew hivi ule uzi wetu wa band kwa nini umefutwa
Hivi umefutwaa sijuii wallah,,ulikua unachekesha sanaa
 
Sister padre mcharo njoo huku kuna mwanaume anakutaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…