prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Trust me... Hawa kesho asubuhi watalikana hili andiko au kuna watu watakuja kumkana mwandishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na inaonekana siyo mara ya kwanza kitendo kama hicho kufanyika.Mimi binafsi siyo muislam ila niseme tu kuwa ikiwa kitendo hicho kimefanyika basi ni makosa makubwa mno yaliyofanywa na waliompangia kazi huyo jamaa na hata kumshauri avae nguo za kike.
Huo ni udhalilishaji kwa akina mama wachaMungu walioingia Msikitini kusali.
Kitendo hiko kitapotezewa kwa kuwa tu Rais ni Muislam ila angekuwa Mkristo, sipati picha ingekuaje.
Ikiwa ni kweli basi serikali iwaombe radhi waislamu wote na watu wachukue tahadhari ili watu wasiendelee kujificha kwa mavazi hayo ambayo hayamtambulisha mtu.
Nikikuwa nasubiri tamko lako. Mpaka hapa unaonesha undumilakuwili waziwazi! Uko tayari kunajisi imani yako kisa UCHAWA!Mmejuwaje kuwa ni mwanamme yule?
NASISITIZATrust me... Hawa kesho asubuhi watalikana hili andiko au kuna watu watakuja kumkana mwandishi
Rukhsa ripKazi ya Mungu haina makosa.
Yaani alindwe hata Kwa kukiuka taratibu za dini? Kuna siku mtapeleka Mbwa msikitini Kwa Kisingizio cha Rais kulindwa.Mihemko tu. Rais alindwe.
Huwa kuna maandiko halafu kuna utaratibu. Kuna mahali kwenye ukatoliki kuna andiko la kuwa pawe na watawa wa kike na wasiolewe wala kuzaa watoto?Nimetafuta kama kuna andiko limewekwa linalokataza wanaume kuswali na wanawake sijaona.
Wangeweka hilo andiko bila ya shaka lingeongezea uzito wa habari yenyewe
Yaani hawa jamaa sijui vipi? Mwanaume, asiyekuwa mlinzi, kukaa jirani na Rais, atakuwa nani huyo?!!MAKOSA MAKUBWA
Shura ya Maimamu imo katika juhudi ya kupata hakika ya mtu huyo kama ni sehemu ya ulinzi wa Rais Samia Suluhu Hassan au laa. Hata hivyo ikiwa tukio kama hilo litaihusisha serikali yoyote ile tunasema ifuatavyo:
TofautiAsante sana kwa ufafanuzi.
Naomba kuuliza shura ya imam na bakwata wana kauli moja ama kila mmoja ana kuwa na kauli yake haswa kwa maswala tata kama haya.
Utaratibu lazima uendane na maandiko, kama sivyo, basi huo utaratibu ni batili. Hizo stories za mapokeo ni uzushi tu.Huwa kuna maandiko halafu kuna utaratibu. Kuna mahali kwenye ukatoliki kuna andiko la kuwa pawe na watawa wa kike na wasiolewe wala kuzaa watoto?
Hivi upo ndani ya nyumba ya ibada, halafu unataka ulinzi gani tena? Kama ulinzi ni muhimu ndani ya nyumba ya ibada basi haya mambo ya kuabudu tumetengeneza!!!Aliyejibu Naye amehemka tena vibaya mno.
Suala la ulinzi wa Rais huku ni kama linachukuliwa poa sana.
Nijibu hoja yangu acha viroja boss.Utaratibu lazima uendane na maandiko, kama sivyo, basi huo utaratibu ni batili. Hizo stories za mapokeo ni uzushi tu.
Mtu kumjua kama ni Mwanaume au Mwanamke lazima uione eneo lake la Siri kama la kike au kiume.Nikikuwa nasubiri tamko lako. Mpaka hapa unaonesha undumilakuwili waziwazi! Uko tayari kunajisi imani yako kisa UCHAWA!
Anapokuwa ndani ya nyumba ya Mungu na kiti chake huwa hamuoni?Hivi upo ndani ya nyumba ya ibada, halafu unataka ulinzi gani tena? Kama ulinzi ni muhimu ndani ya nyumba ya ibada basi haya mambo ya kuabudu tumetengeneza!!!