Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
 
Hakuna jambo la uongo hapo huo ni ukweli mchungu ambao nyie team SAUT hamtaki kusikia ni mjinga pekee ndo hajui nini kinaendelea SAUT
 
Hicho Chuo wamesoma/wanasoma watoto wadogo kama wewe mtoa mada! Ushahidi ni wakati tunasoma sisi kaka zako! Kilikuwa kinaitwa Chuo cha uandishi wa habari Nyegezi!

Sasa wewe mtoto wa juzi unataka kutuletea dharau sisi kaka zako Ma genius kabisa tuliofanya mpaka mtihani wa matriculation pale UDSM na hicho chuo chako cha kata, walichosoma/wanachosoma watu mapopoma kama wewe!
 
Chuo cha saut mwaka kwa taaluma hakuna chuo kingine kinachoweza kufikia sema pale IT wawaangalie sana wanawanyanyasa wanachuo
 
Chuo cha saut mwaka kwa taaluma hakuna chuo kingine kinachoweza kufikia sema pale IT wawaangalie sana wanawanyanyasa wanachuo
Mkuu hilo kwenye Uzi wangu ambao mleta mada amekuja kusema nasema uongo nimelisema hili kongole kwa kulisema pia.
 
Chuo cha saut mwaka kwa taaluma hakuna chuo kingine kinachoweza kufikia sema pale IT wawaangalie sana wanawanyanyasa wanachuo
Hakuna anayenyanyaswa SAUT Mwambie huyo unayesema kuwa ananyanyaswa kuwa aache kuwa Popoma Mkomavu.
 
Hicho Chuo wamesoma/wanasoma watoto wadogo kama wewe mtoa mada! Ushahidi ni wakati tunasoma sisi kaka zako! Kilikuwa kinaitwa Chuo cha uandishi wa habari Nyegezi!

Sasa wewe mtoto wa juzi unataka kutuletea dharau sisi kaka zako Ma genius kabisa tuliofanya mpaka mtihani wa matriculation pale UDSM na hicho chuo chako cha kata, walichosoma/wanachosoma watu mapopoma kama wewe!
Wewe ukiwa 'Genius' nakojoa Mchana Kweupe Geti Kuu la Lugalo Barracks.
 
Mwaka niliosoma pale UDSM, waliishia Divion two ya 11. Labda hizo division 3 zimeanza kuruhusiwa miaka ya karibuni baada ya kuanzishwa TCU.
Nasisitiza Kwako tena kwa Jeuri zote na Kujiamini kabisa kuwa Mwanamume nina DIV II ya Form Four na DIV I ya Form Six.
 
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
....ktk kiwango chako cha juu cha upopoma.
 
Kujituma kwa waalimu sio ngao ya kuficha udhaifu wa SAUT
Hivi Vyuoni kuna Walimu au kuna Wahadhiri? Nikiwaiteni Wapumbavu mtachukia? SAUT haina Walimu bali ina Wahadhiri sawa? Na hakuna Mhadhiri wa SAUT Mwanza mwenye Udhaifu ila Udhaifu mkubwa ni Ubongo wako uliojaa Tongo Tongo nyingi tu.

Nakupa Elimu hii ya bure.....

Walimu wako Chekechea hadi Kidato cha Sita tu
Wakufunzi wako katika Vyuo ambavyo vinatoa Ngazi za Certificates na Diplomas pekee
Wahadhiri na Wahadhiri Waandamizi wako katika Ngazi za Elimu ya Juu / Vyuo Vikuu tu

Huwezi kuwa na Akili Kubwa kama hizi na kupata huu Ufafanuzi Kuntu kutoka kwa GENTAMYCINE kama tu hujasoma SAUT.
 
Back
Top Bottom