Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.

Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
Ongezea na Mzumbe
 
Chuo cha kipopoma kile[emoji1787]
75% ya Watu wa TISS, JWTZ na mpaka Foreign Docket achilia mbali DC's na Watendaji Waandamizi wa Serikalini na Waandishi wa Habari Intelligent and Critical Tanzania, Rwanda na Kenya ni Wahitimu wa ( zao la ) SAUT Mwanza.
 
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Hujakosea. Ni mpaka wenye principal za minimum kabisa.

Yaani ni wale wanaotaka sifa kusoma chuo chenye jina. Bahati mbaya ufaulu ukawa chini.

Hasa PCB.
 
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Hata UDSM wanakwenda wenye division II pia.
 
[emoji1787]
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Halafu wewe wakakupeleka Sauti sio


Achana na SUA wewe kwanza ni cha pili Tanzania kwa ubora

Tafiti nyingi zinafanyika pale za kilimo yes kilimo ambacho ni uti mgongo wa taifa lako

Panya wateguaji mabomu wanafundishwa pale

Kuna mpka clinic ya wanyama

Gunduzi ,tafiti na cross breeding za mbegu


Sasa we dogo unajua nini unajua tu uzuri wa chuo majengo na kiwe mjini
 
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Kweli elimu ya Tz haina thamani mpk wewe ni umepass advance ?
 
2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.

Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
Kwa akili hizi ndo maana ulipata DV III
 
Chuo wanyanyasaji sana hovyo kabisa.Na faini za kijinga kisa kuchelewa kulipa ada hata buku.wamulikwe na serikali wezi wakubwa.
 
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
Mleta hoja hakuwa na hekima maana shutuma zilikosa evidence
 
Back
Top Bottom