Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
Ni kweli hicho chuo ni kiboko
 
Ni kweli hicho chuo ni kiboko
Sisomagi Vyuo Vikuu vya Kipumbavu Kipumbavu na sikuanzia hapo SAUT Mwanza ( Genius based University in Tanzania ), bali nilianzia pia kusoma kidogo ( Kozi Moja hivi ) Chuo Kikuu cha Cape Town ( 2004 ) nchini Afrika Kusini ambacho nacho Kidunia kinasifika na kinajulikana ni miongoni mwa Vyuo Vikuu Bora na vinavyotoa 'Intellectuals' watupu tu.
 
Pale hakuna chuo hiyo hela waliokupa kwa ajili ya promo warudishie
 
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
Tulijenge jiji la Mungu.
 
Ati matriculation ile mitihani ya mukriple choices?. Kiingereza cha darasa la saba. Haha hahaaaa!. Nenda SAUT ukutane na basic English course mwaka wa kwanza na French mwaka wa kwanza na pili ndio uje hapa ujiite mwanaume.
Aisee hiyo basic English nilishangaa sana pale tulipoambiwa tutasoma hiyo course mwaka mzima, ila leo hii nimegundua kwa nini Warumi waliweka hii course, walimu walikuwa vichwa kwelikweli.
 
Tulijenge jiji la Mungu.
Yeah Chief. Mwanamume na mwana JamiiForums Maarufu na Kiboko ya Wapumbavu wote GENTAMYCINE nimesoma hapo na ninajivunia kupata Taaluma ya uhakika na iliyonijenga vyema Kiakili na Kifikra kutoka hapo SAUT Mwanza ( 2006 - 2009 ) nikiwa na Rafiki yangu mkubwa Marehemu Haonga Lutengano ( R.I.P ) TBC Senior Journalist.
 
Ninachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......

1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu

Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.

Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.

Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
Kuna mdada nafanya nae kazi amesoma SAUT..ana vyeti vya olevel zaidi ya 3..na vyote div 4 mbovu...lakini ana bachelor kutoka SAUT ...ana uwezo mdogo Sana wa kufikiri..
Sasa Huwa najiuliza maswali mengi Sana kuhusu SAUT..
Kwann serikali inakiachia kioperate wakati kinatoa incompetent candidate?
...nadhani nawengine humu jf mtatoa ushuhuda
 
Magu alikiamini sana chuo cha Saut,kuna sana usalama wengi sana alikua nao kutoka Saut,hata yule jamaa alikua anasimama pembeni yake ni zao la Saut,pia kuna staff wengi sana serikalini ni zao la Saut

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.

Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
Kwa sasa nadhani kikubwa ni kupitia chuo chochote,kiwe cha kata au chochote basi elimu uliopata huko ikusaidie kuleta ugali mezani na kama ukipata nafasi basi uweze kusaidia taifa kwa nafasi yako.....
 
Kila chuo ni kizuri kwenye baadhi ya kozi Mfano sheria chuo fulani, ualimu chuo fulani,hakuna chuo ambacho sio bora maana vyuo ambavyo sio bora viloshagafungiwa ! Lakini kubishana ubora wa chuo ni dhahiri kwamba Elimu yetu bado haijatukomaza kuleta mabadiliko chanya kwani hakuna ukweli kwamba kusema kwamba SAUT ni chuo bora ina maana kila.product ya pale itakua bora! mtu anaweza kusoma Jordan akawa bora kushinda aliyesoma Udsm.Infact kila chuo ni bora hakuna chuo sijui cha kata wala sijui.chuo cha mageniuse !

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Vijana wa sasa ni tatizo mkuu. Sikatai kuwa kuna mapungufu kidogo ya kimfumo hapo lakini matatizo ya kitaaluma na kinidhamu vijana ndio wa kulaumiwa sana.
Nimepita hapo ila inafikia wakati una tatizo wakitaka kukusaidia husaidiki. Mtu unakuta hana taarifa za kila siku, hapitii notice board, doja, hafuatilii issue za kichuo kwa watu husika. Nilikuwa na matatizo fulani lakini kutokana na mwenendo wangu mzuri niligraduate vizur.
Sup nilipata sababu ya uzembe wangu mwenyewe.
Tatizo pale kubwa ni IT.
 
Kuna mtu alidisco kisa uzembe mwaka jana. Huyo mtu alikuwa na tatizo na lecture alituma taarifa kwa viongozi, isitoshe kila akija class akawa anamtafuta "jamani nitafutieni Rhoda yuko wapi, Rhoda kama uko huku sioni maksi zako za course work" mtu hatokei. Nakumbuka tuko m13 siku ya kipindi cha mwisho kufunga semester ya mwaka wa mwisho lecture huyu akiwa ndio anaanza kipindi alisikitika sana akasema huyu niliemtafuta ndio mwanafunzi wa kwanza wa somo langu kudisco.

Huo ni mfano tu.
Sikatai kila chuo kuna rushwa za ngono, uonevu lakini sio kila mwalimu atakuonea. Unakuta mtu mmoja ana kosa linlofanana kwa kila mwalimu. Huyu mtu anasaidiakaje.
Wanachuo wengi tunakosa time management kabisa. Mfani mimi nilipata sup kisa nilichelewa darasani vipindi viwili so nikakosa quiz za maksi 10. Hapo nilikuwa second year.
SAUT waboreshe mazingira na hali za walimu watafundisha vyema.
 
Kuna mdada nafanya nae kazi amesoma SAUT..ana vyeti vya olevel zaidi ya 3..na vyote div 4 mbovu...lakini ana bachelor kutoka SAUT ...ana uwezo mdogo Sana wa kufikiri..
Sasa Huwa najiuliza maswali mengi Sana kuhusu SAUT..
Kwann serikali inakiachia kioperate wakati kinatoa incompetent candidate?
...nadhani nawengine humu jf mtatoa ushuhuda
Mkague vizuri Kasoma SAUTI au SAUT Mwanza niliyosoma Mimi Kiboko yao GENTAMYCINE sawa?
 
Aisee hiyo basic English nilishangaa sana pale tulipoambiwa tutasoma hiyo course mwaka mzima, ila leo hii nimegundua kwa nini Warumi waliweka hii course, walimu walikuwa vichwa kwelikweli.
Hiyo course ni imenijenga sana. Dah i miss mwalimu Katigula na Kabalimu
 
Sisomagi Vyuo Vikuu vya Kipumbavu Kipumbavu na sikuanzia hapo SAUT Mwanza ( Genius based University in Tanzania ), bali nilianzia pia kusoma kidogo ( Kozi Moja hivi ) Chuo Kikuu cha Cape Town ( 2004 ) nchini Afrika Kusini ambacho nacho Kidunia kinasifika na kinajulikana ni miongoni mwa Vyuo Vikuu Bora na vinavyotoa 'Intellectuals' watupu tu.
Wasikuchukulie poa mzee baba

Hahaha

Hebu waweke cv yako uwakate ubishi

Naona wapinzani unao wengi humu

Ova
 
Kwahiyo ww una ona ni Sifa kuchafua Chuo chako? Uki fuatiliwa hata Class huingiii. Kazi ni mademu tu.
Achana na huyo Mental Case Mkuu ana Chuki zake tu Genius based University SAUT Mwanza.
 
Back
Top Bottom