Shutuma zote dhidi ya SAUT Mwanza ni za Uwongo mtupu mpeleke Mwanao huko akawe Genius na Thinker kwa Tanzania

Nasisitiza Kwako tena kwa Jeuri zote na Kujiamini kabisa kuwa Mwanamume nina DIV II ya Form Four na DIV I ya Form Six.
Basi wewe utakuwa ni mtoto wa juzi. Enzi zetu ilikuwa ni fahari kubwa kusoma udsm! Na uzuri fani zote zilikuwa zinapatikana ikiwemo hiyo ya uandishi wa habari. Na division 1 zote zilienda Udsm!

Huko Nyegezi! Sijui SAUT, walisoma watoto wa mama waliokosa sifa za kujiunga Mlimani! Ila wagumu wote, watoto wa wakulima na ma genius wote wachache kutoka interior kama mimi! Tulikutana pale UD na one zetu.
 
Acha upopoma mwalimu ni mwalimu tu au ndo Yale Yale akifa kiongozi anaitwa hayati akifa masikini marehemu [emoji1787][emoji1787]
 
Jambo la kushangaza sana mpwayungu mzee wa kuandika ugoro awe p.
Sijawahi Kukosea pale nikilisema Jambo sasa kama Wewe hutaki Kuamini kuwa ndiyo Yeye ni Shauri yako. Najiamini Ok?
 
2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.

Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
 
Ati matriculation ile mitihani ya mukriple choices?. Kiingereza cha darasa la saba. Haha hahaaaa!. Nenda SAUT ukutane na basic English course mwaka wa kwanza na French mwaka wa kwanza na pili ndio uje hapa ujiite mwanaume.
 
U -genious haufundishwi
 
Sauti ni chuo Cha divisions three na four huwez pata Division 1 ukaenda Soma chuo Cha kata it Imposssible.
 
Tanzania vyuo vya kujisifia ni.
1.UDSM
2.MUHIMIBILI
3.SUA
 
Tanzania vyuo vya kujisifia ni.
1.UDSM
2.MUHIMIBILI
3.SUA
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
 
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.

Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Sijawahi fika ila atlest afadhali.. ingawa kwa elimu ya darasani UDSM is incomparable!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…