GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
KJ wa JamiiForums na wa kwa Waandishi wote wa Habari nchini Tanzania. Tena ana 'Kashfa' mbaya akicheza nitaifukua.Kwamba mpyayungu ndio yule wakuitwa njaa kwa kisukuma p?
Na wala sina 'Gentleman' bali nina 'Lower Second', ila Watu wananishangaa ni kwanini nina Akili kuliko Koo zako zote Mbili.Si umeona sasa! Unaleta dharau. Humu kuna Ma genius wengi sana kuliko wewe mhitimu mwenye gentleman. Sema tumeamua tu kuuchuna.
Alionao aliyekuzaa.....ktk kiwango chako cha juu cha upopoma.
Basi wewe utakuwa ni mtoto wa juzi. Enzi zetu ilikuwa ni fahari kubwa kusoma udsm! Na uzuri fani zote zilikuwa zinapatikana ikiwemo hiyo ya uandishi wa habari. Na division 1 zote zilienda Udsm!Nasisitiza Kwako tena kwa Jeuri zote na Kujiamini kabisa kuwa Mwanamume nina DIV II ya Form Four na DIV I ya Form Six.
Acha upopoma mwalimu ni mwalimu tu au ndo Yale Yale akifa kiongozi anaitwa hayati akifa masikini marehemu [emoji1787][emoji1787]Hivi Vyuoni kuna Walimu au kuna Wahadhiri? Nikiwaiteni Wapumbavu mtachukia? SAUT haina Walimu bali ina Wahadhiri sawa? Na hakuna Mhadhiri wa SAUT Mwanza mwenye Udhaifu ila Udhaifu mkubwa ni Ubongo wako uliojaa Tongo Tongo nyingi tu.
Nakupa Elimu hii ya bure.....
Walimu wako Chekechea hadi Kidato cha Sita tu
Wakufunzi wako katika Vyuo ambavyo vinatoa Ngazi za Certificates na Diplomas pekee
Wahadhiri na Wahadhiri Waandamizi wako katika Ngazi za Elimu ya Juu / Vyuo Vikuu tu
Huwezi kuwa na Akili Kubwa kama hizi na kupata huu Ufafanuzi Kuntu kutoka kwa GENTAMYCINE kama tu hujasoma SAUT.
Anacho weza ni kutukana tu mkuuMbona unakimbilia tena kwenye matusi jamaa yangu Popoma! Wapi nimekutukana! Genius gani huwezi kujenga hoja!
Ni mapopoma pekee ndiyo hutegemea silaha ya matusi wanapo jitetea. Ona aibu hata kidogo basi.
Na Wewe unahitaji 'Kombora' langu Takatifu?Anacho weza ni kutukana tu mkuu
Jambo la kushangaza sana mpwayungu mzee wa kuandika ugoro awe p.Kwamba mpyayungu ndio yule wakuitwa njaa kwa kisukuma p?
Sijawahi Kukosea pale nikilisema Jambo sasa kama Wewe hutaki Kuamini kuwa ndiyo Yeye ni Shauri yako. Najiamini Ok?Jambo la kushangaza sana mpwayungu mzee wa kuandika ugoro awe p.
Ati matriculation ile mitihani ya mukriple choices?. Kiingereza cha darasa la saba. Haha hahaaaa!. Nenda SAUT ukutane na basic English course mwaka wa kwanza na French mwaka wa kwanza na pili ndio uje hapa ujiite mwanaume.Hicho Chuo wamesoma/wanasoma watoto wadogo kama wewe mtoa mada! Ushahidi ni wakati tunasoma sisi kaka zako! Kilikuwa kinaitwa Chuo cha uandishi wa habari Nyegezi!
Sasa wewe mtoto wa juzi unataka kutuletea dharau sisi kaka zako Ma genius kabisa tuliofanya mpaka mtihani wa matriculation pale UDSM na hicho chuo chako cha kata, walichosoma/wanachosoma watu mapopoma kama wewe!
U -genious haufundishwiNinachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......
1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu
Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.
Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.
Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
Alafu anasimama na kusema amesoma hiyo course mbele za wanaume wenzake. Mwanangu Moureen amemaliza hiyo course mwaka jana.Mtoto wa Biden tu wewe! Huna lolote. Ungekuwa mwanaume kama mimi usingesomea fani za wamama.
Nishawahi kuwa na demu muhitimu wa hiyo koziAlafu anasimama na kusema amesoma hiyo course mbele za wanaume wenzake. Mwanangu Moureen amemaliza hiyo course mwaka jana.
SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.Tanzania vyuo vya kujisifia ni.
1.UDSM
2.MUHIMIBILI
3.SUA
Sijawahi fika ila atlest afadhali.. ingawa kwa elimu ya darasani UDSM is incomparable!SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.
Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Kwa JF hii hakuna cha kushangaza!Jambo la kushangaza sana mpwayungu mzee wa kuandika ugoro awe p.