Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Ongezea na Mzumbe2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.
Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
Yaani Mayala/Njaa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba mpyayungu ndio yule wakuitwa njaa kwa kisukuma p?
75% ya Watu wa TISS, JWTZ na mpaka Foreign Docket achilia mbali DC's na Watendaji Waandamizi wa Serikalini na Waandishi wa Habari Intelligent and Critical Tanzania, Rwanda na Kenya ni Wahitimu wa ( zao la ) SAUT Mwanza.Chuo cha kipopoma kile[emoji1787]
Umemjibu vizuri.Lakini hata Udsm wanasoma division three
Hujakosea. Ni mpaka wenye principal za minimum kabisa.SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.
Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Hata UDSM wanakwenda wenye division II pia.SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.
Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Halafu wewe wakakupeleka Sauti sioSUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.
Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Kweli elimu ya Tz haina thamani mpk wewe ni umepass advance ?SUA hii wanapokwenda vilaza wa advance waliopata marks za kuchechemea.
Yaani mimi advance asilimia 50 niliohitimu nao walienda SUA na wote ni two ya mwisho 12.
Kwa akili hizi ndo maana ulipata DV III2008 nilipata Multiple admission ya vyuo vikuu. SUA na hivyo vyuo vya kata vyenye wanafunzi wenye low iq na wakufunzi vilaza tena wengine tulisoma nao Nikaenda SUA kupiga BVM nikaacha UDOM, St. John University tena nilipata course za "medical" nikaona naenda jishusha uwezo wangu wa kufikiria.
Mtu mwenye akili timamu na kama amefaulu vizuri hawezi kwenda soma SAUT, St. John, MUM, sijui RUCU au Mkwawa au Tumaini wala UDOM. Huko ni kwa vilaza, vyuo Tanzania ni viwili tu UDSM na SUA.
π π π πNasisitiza Kwako tena kwa Jeuri zote na Kujiamini kabisa kuwa Mwanamume nina DIV II ya Form Four na DIV I ya Form Six.
Mleta hoja hakuwa na hekima maana shutuma zilikosa evidenceNinachojua tu ni kwamba Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine ( SAUT Mwanza ) nilikosoma Mwanamume ukiwa.......
1. Mpumbavu wa Kurithishwa huwezi Kusoma
2. Ukiwa Mvivu na Lege Lege huwezi Kufaulu
3. Ukiwa huna bidii Kitakushinda na utakimbilia Mitandaoni 'Kupopomomika' tu Kutwa
4. Ukiwa Muhuni utaishia kuwa Mwendawazimu kwani pale 24/7 kuna Uwepo wa Mungu na Kristo
5. Ukiwa hujatokea katika Koo zenye Watu wenye Akili kamwe utakichukia tu
6. Ukiwa na Uswahili mwingi na Maisha yako ni ya hovvyo hovyo huwezi kuendana nacho
7. Ukiwa Mvuta Bangi au Mlevi au Mbwia Unga ni lazima hutokipenda tu
Tanzania nzima na nashukuru hata Wakenya, Waganda na Wanyarwanda bila kusahau Wazungu wanafurika SAUT Mwanza na wameshakiri kuwa ndiko sehemu pekee ya Kuwatoa Watu Mahiri na Werevu katika Tasnia zote.
Ukiona hadi GENTAMYCINE amesoma SAUT na anakisifia hivi jua ya kwamba najua ni Kitu gani nimekipata pale. Hakuna Chuo ambacho kama kweli Mtu au Mwanao akiwa anatafuta Taaluma ya Kweli na akiwa hataki tu kuishia kuwa Mweledi bali pia anataka kuwa Rational Thinker basi sehemu pekee ni SAUT Mwanza.
Sasa kama wengine tuna 'Degree' zetu, ila wenye 'Doctorates' zao achilia mbali Masters zao wanatuogopa kwa kujua Kufikiri na Kujenga Hoja kwanini msiamini kuwa SAUT Mwanza ndiyo Kiboko ya Mjini kwa sasa Kitaaluma? Nimeshaitwa sana Profesa na Dakta ( tena hapa hapa JamiiForums ) yote ni Matunda ya SAUT hayo.
UD ipi hiyo ambayo Div 3 wanaenda?Lakini hata Udsm wanasoma division three
Hakna Div 3, muongo huyo mwisho n div 2 ya 11.Mwaka niliosoma pale UDSM, waliishia Divion two ya 11. Labda hizo division 3 zimeanza kuruhusiwa miaka ya karibuni baada ya kuanzishwa TCU.
Tena mwanasheria, afu anavunja sheria, hapo SAUT ni utumbo mtupuu.YULE DEMU MWANAFUNZI JUZI ALIYETUPA KICHANGA ALIKUA SAUTI ANASOMEA SHERIA NUSURA APIGWE NA WATU
HAPO UNAPATA PICHA JINSI WANAFUNZI WA HAPO WALIVYO
Ndyoooooooo!!!!Tanzania vyuo vya kujisifia ni.
1.UDSM
2.MUHIMIBILI
3.SUA
kabisaNdyoooooooo!!!!