Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

Mtoa mada yupo sahihi hata kama utekelezaji unaweza kutofautiana ila kimsingi nampa BIG UP
kinachoendelea kwa sasa ni tabia ya unyanyasaji kwa kujua au kwa kutokujua......
Vijana wa kike na wakiume huachiwa watoke huko Nyumbani huku hawana muelekeo wowote
Mwishowe tunaishia kujaza madada poa mijini tukifikiri dada zetu wapo kazini au machokora tukifikiri kaka zetu wapo kazini
Lile wazo la mtu kuwa na familia anayoweza kuingalia ndio linakuja hapa. Kuna baadhi ya watu wanajisifia wana watoto sijui tisa wakati hata hajui huko waliko wanakula nini; kumbe ni madada poa na machokora!!!
 
wewe ulinyanyaswa kisaikolojia na wazazi wako ila kwa kukuwa Mungu amejaalia umefanikiwa imekuwa bahati kwako ila usingefanikiwa ndio ungejua hujui.

mtoto lazima aandaliwe kisaikolojia na kimaisha na wazazi au walezi wake ili pindi anapoanza kujitegemea iwerahisi kukabiliana na mazingira na hatakiwi kutelekezwa mbali mfana angalia wanyama na ndege waanza kutengena taratibu na vifaranga vyao au vindama vyao hata simba uanza taratibu kuwatenga madume na baadae kuwafukuza kabisa. sio jambo la kukurupuka tu tuna mengi ya kujifunza hata wanyama pia wanatufunza sana.

Alokwambia mzee hakuniandalia njia nani?? Mzee kanilea kiume kanifundisha maisha. Toka nakuja dsm chuo plan zangu zilikua kutokurudi home. Aliponambia hakuna kurudi sikuona ajabu kabisa maana mentality yangu ilikua ipo 100. Ndo nyie mnakaa na watoto wa kiume mpaka miaka 35 wako home.
 
Unataka uondoke na chochote Cha nani. Mali za baba yako siyo zako ni zake na mkewe.Watoto acheni kilialia ndio maana mnawachuria wazazi wenu wafe ili mbaki na mali. Kwani yeye hizo mali alipewa na baba yake. Pambana na hali Yako.

Naunga hoja. Katika vitu ambavyo sijawai kuwaza ni kurithi mali za wazeee.
 
Ndio maana jamii za wahindi na waarabu ni matajiri sana na jamii ya mtu mweusi wana maisha ya hovyo sana. Haya ni matokeo ya maamuzi ya kufukuza watoto halafu unafungua biashara unaajiri watu

Wahindi gani unasema ni matajiri.. au unaongelea hawa unaowaona kwny tv na magazeti

Nenda india mkuu, kuna maskini kibao na ukimkuta maskini ni maskini haswaa
 
Kuna dhana imezoeleka na wazazi ambao vijana wao wamefikia umri wa kujitegemea kuwaruhu ama kuwataka waondoke nyumbani ili hali hawana chochote na inawezekana hata kazi hana inayoeleweka.

Hii hali ina athari nyingi sana kwa vijana wa jinsia zote ila kwa wakike ndio zaidi. Kijana kuhitimu chuo haimaanishi kwamba sasa anaweza kumudu kila kitu,bado anakuwa na changamoto za kutqfuta kibarua ili aweze kujikimu.

Kwa upande wangu mimi nitafanya hivi ,wanangu kutoka nyumbani itakuwa ni option,na anapotoka nilazoma nijue kwa uyakinifu anaenda wapi na kwanini? Akinipa hoja yakinifu na nikazikunali basi nitagharamia kila kitu,kodi ya nyumba miezi 6, pesa yakujikimu miezi 6( hata kama anamshahara) kama amepata kazi,!,nitam unulia kila kitu ambacho ni hitaji muhimu kwa kuanza maisha ikiwemo kitanda, na godoro na mengineyo.

Kama ameamua kufanya biashara basi nitampatia mtaji,na nitaifuatilia mpaka pale jitakapo ona imesimama,na katika kipindi hicho chote nitampatia mahitaji muhimu mpaka pale biashara itakapo shinda kipindi cha mpito.

Unamruhusu mtoto aondoke halafu mkononi hana kitu wala hana kitu cha maana, matokeo yake kama ni wa kike anashawishika kujiuza.

Hakikisha mtoto kasimama na unauhakika kasimama kikamilifu ndio umuache.
Unadhani kila mzazi ni tajiri?
 
Hili sio suala la utajiri,ni malengo tu kuanzia mtoto anapokuwa mdogo ,au anapozaliwa muwekee mikakati
Wenzako ndiyo tuliwajengea nyumba nzuri wazazi! Tulikuwa tunawatunza ujue! Inategemea wewe ni kizazi cha ngapi! Kama ni cha pili hapo sawa ila wengi humu ni kizazi cha kwanza
 
Wahindi gani unasema ni matajiri.. au unaongelea hawa unaowaona kwny tv na magazeti

Nenda india mkuu, kuna

Wenzako ndiyo tuliwajengea nyumba nzuri wazazi! Tulikuwa tunawatunza ujue! Inategemea wewe ni kizazi cha ngapi! Kama ni cha pili hapo sawa ila wengi humu ni kizazi cha kwanza
logic yangu ni kwamba hayo yanayotokea kwako zidi ya wazazi wako basi yasiyokee kwa wanao zidi yako
 
Kuna dhana imezoeleka na wazazi ambao vijana wao wamefikia umri wa kujitegemea kuwaruhu ama kuwataka waondoke nyumbani ili hali hawana chochote na inawezekana hata kazi hana inayoeleweka.

Hii hali ina athari nyingi sana kwa vijana wa jinsia zote ila kwa wakike ndio zaidi. Kijana kuhitimu chuo haimaanishi kwamba sasa anaweza kumudu kila kitu,bado anakuwa na changamoto za kutqfuta kibarua ili aweze kujikimu.

Kwa upande wangu mimi nitafanya hivi ,wanangu kutoka nyumbani itakuwa ni option,na anapotoka nilazoma nijue kwa uyakinifu anaenda wapi na kwanini? Akinipa hoja yakinifu na nikazikunali basi nitagharamia kila kitu,kodi ya nyumba miezi 6, pesa yakujikimu miezi 6( hata kama anamshahara) kama amepata kazi,!,nitam unulia kila kitu ambacho ni hitaji muhimu kwa kuanza maisha ikiwemo kitanda, na godoro na mengineyo.

Kama ameamua kufanya biashara basi nitampatia mtaji,na nitaifuatilia mpaka pale jitakapo ona imesimama,na katika kipindi hicho chote nitampatia mahitaji muhimu mpaka pale biashara itakapo shinda kipindi cha mpito.

Unamruhusu mtoto aondoke halafu mkononi hana kitu wala hana kitu cha maana, matokeo yake kama ni wa kike anashawishika kujiuza.

Hakikisha mtoto kasimama na unauhakika kasimama kikamilifu ndio umuache.
Umeandika jambo la msingi sana, ila familia zina tofautiana sana hapa ndio shida ilipo, kuna watu pesa ya mkopo wa chuo wanalisha familia nyumbani
 
logic yangu ni kwamba hayo yanayotokea kwako zidi ya wazazi wako basi yasiyokee kwa wanao zidi yako
Tatizo ubinafsi wako unafanya usinielewe! Maisha si ya kudekezwa! Unadhani hapa JF ni watu wangapi wazazi wao wapo Njema? After all ukipewa ujue ni investment mzazi anafanya! Je utarejesha? Unaona mengi ya mawazo yenu ni ngoni tu! Tafuta vyako
 
Tatizo ubinafsi wako unafanya usinielewe! Maisha si ya kudekezwa! Unadhani hapa JF ni watu wangapi wazazi wao wapo Njema? After all ukipewa ujue ni investment mzazi anafanya! Je utarejesha? Unaona mengi ya mawazo yenu ni ngoni tu! Tafuta vyako
Mimi kwa sasa natafuta wealth na sio richness,napia jua kwamba mimi siijui ladha ya mama wala baba na sina hata mia mbovu ya urithi,namaanisha ninachokiyolea hoja na ma3lezo,,kuwa mtulivu usijifanye unawajua sana watu mkuu
 
Mimi kwa sasa natafuta wealth na sio richness,napia jua kwamba mimi siijui ladha ya mama wala baba na sina hata mia mbovu ya urithi,namaanisha ninachokiyolea hoja na ma3lezo,,kuwa mtulivu usijifanye unawajua sana watu mkuu
Acha nadharia kijana! Unavyofikiria wazazi wako wangekua, naomba nikukatishe tamaa kuwa was ingalikuwa hivyo. Sie tunaongea with experience! Kazi ya mzazi ni kumsomesha kijana na baada ya hapo akajitafutie vyake. Full stop! Hii ya Wahindi na waarabu ni kitu tofauti maana inaitwa family business na family homes. Usikariri
 
Acha nadharia kijana! Unavyofikiria wazazi wako wangekua, naomba nikukatishe tamaa kuwa was ingalikuwa hivyo. Sie tunaongea with experience! Kazi ya mzazi ni kumsomesha kijana na baada ya hapo akajitafutie vyake. Full stop! Hii ya Wahindi na waarabu ni kitu tofauti maana inaitwa family business na family homes. Usikariri
Hayo ni mawazo yako na imani yako juu ya malezi yako,kwanza uelewe sio kila kwenda shule basi nikufanikiwa kiuchumi,experience isiyo na maturity na umbumbumbu, you are applying the oldest tactics,,tengeneza mfumo wako wa maisha ya kizazi chako,once wewe wazazi wako walikulea kimafia sio na wewe uwalee kimafia,nasijawazungumzia wahindi ama waarabu hapo japo hata kwa mfano,wewe umetoa wapi?,i bet you are a such kind of parents whose daughters are selling their bodies and they are praising,,malezi hayana experience mkuu,usifanye mwanao aje kuwa chakula cha nzige,acha kuishi maisha yakukopi kwa ancestors,Nasema hivi USIMRUHUSU MWANAO AONDOKE NYUMBANI ILI HALI HANA CHOCHOTE HAKIKISHA UNAMUWEZESHA AKAJIKIMU HUWEZI BASI HAKIKISHA ANAONDOKA HAPO AKIWA AMEJIJENGA,ACHA KUWAPA WATOTO MAPITO YA HOVYO KWA KIGEZO UNAWAJENGA,ALIYEKWAMBIA KILA SHIDA INAJENGA NANI?
 
Tatizo ninaona liko kwa sisi vijana. kwa wazazi ni asilimia chache sana.

niko mid 20s na nimeanza kujitegemea mwaka jana mwisho baada ya kumaliza masomo mwaka juzi.

malezi ndio msingi mkuu wa kumkomaza mtoto ili aweze kusurvive popote pale.
wazazi waache kulea mtoto kimayai .hii ina athari kubwa sana mbeleni.

wale mnaopinga mali za urithi huwa naona ni watu wa ajabu sana. inatakiwa mtu urithi mali, uItunze then na ww uziongeze uje urithishe sio kuziuza.

elimu sio urithi pekee. kama mzazi unamrithisha mtoto DNA basi mrithishe mali kwani kama uliweza kumpa malezi vzr 100% mali uliyompa ataitunza na kuiongeza.

Hii ya kumtoa mtoto home akajitegemee ilhali hali haijakaa sawa huo ni uuaji.

namuunga mkono mtoa mada.
me binafsi baada ya kuua masomo kama nilivosema awali. nilirudi nyumban na mzee wangu hakuonesha chchote wala kunisimanga kwamba nipo tu. japo nilimueleza mipango yangu kwamba ninataka kufanya nini

uzuri ni kuwa me mwnyw sibagui kazi. shambani na kazi zozote za home full kupiga pamoja na mzee. mzee aliendelea kunihudumia kila kitu home ;sabuni, mafuta, vocha nk kwa sababu kijana sikuwa muhuni kbsa. Hadi Leo natii sheria za home licha wa kuwa nina kipato cha wastani.
mzee alinisaport sasana kunitafutia vibarua na pia ikiwa nikipata mishe hata vijiji vya mbali alikuwa ananipa ruhusa na haishi kuniulizia hali kwa simu.

KIUFUPI MZEE KANILEA KIUME SANA. kazi za kulima, kuchuma chai, kuchumba mawe, kuchoma mkaa kanifundisha pia nidhamu ya pesa toja niko primary.

nikivopata kazi nilikuwa na akiba ya vyombo vyangu, mzee akaniongezea chakula huku akisisitiza anipe nini ili nikakae vzr huko geto kazini.
inshort hakuniharakisha kutoka home .
kuna kipindi nimekosa kazi za anuani ya makazi, sensa full stress lakini mzee akawa anakuja room kwangu ananicomfort nitulie wala maisha yatakuja taratbu tu. Daily kunipigia simu .He is so proud of me kwa kweli.

I love you Mzee. leo nimekuningekuwa mwanaume wa kiume kisa wew.

Nb: huyu mzee kanilea siyo baba wa kambo n ndugu tu tena siyo wa damu. Alioniomba tu kwa baba aishi na Mimi kisa upweke aliokua nao katika ndoa mpya. baba mzazi kafa nina 10 years.

VIJANA;TUANDAE MAISHA MAZURI YA WATOTO WETU HUKO FUTURE. in
 
Acheni kujifananisha na waarabu na wahindi nyie n waafrika ukimlea mtoto kishupavu ataondoka mwenyewe nyumbani na kwenda kujitegemea, kujitegemea kwa kijana wa kiafrika n moja ya alama ya kujitambua
 
Back
Top Bottom