Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Hapana mkuu wanaishi vema😂😂😂Usiwafanyie wanao sasa😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu wanaishi vema😂😂😂Usiwafanyie wanao sasa😅😅😅
Asante kwa comment murua sanaMimi ni mmojawapo nilivyomaliza chuo niliambiwa nisirudi home. Nikakomaa hapa mjini mpaka nikatoboa acheni kuwalegeza watoto wa kiume kwa mtoto wa kike sawa, kama hana kazi akae home.
Mzee alinambia kama unafungua biashara niione hapo nitakupa pesa ya kukuza biashara. Acheni kuwalemaza watoto wa kiume, unampa mtaji anakwenda kidimbwi kula bata ananunua na macho 3.
Akimaliza chuo fukuza akatafute maisha hapo atapata akili ya maisha.
AsanteUnataka uondoke na chochote Cha nani. Mali za baba yako siyo zako ni zake na mkewe.Watoto acheni kilialia ndio maana mnawachuria wazazi wenu wafe ili mbaki na mali. Kwani yeye hizo mali alipewa na baba yake. Pambana na hali Yako.