Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

Asante kwa comment murua sana
 
Unataka uondoke na chochote Cha nani. Mali za baba yako siyo zako ni zake na mkewe.Watoto acheni kilialia ndio maana mnawachuria wazazi wenu wafe ili mbaki na mali. Kwani yeye hizo mali alipewa na baba yake. Pambana na hali Yako.
Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…