Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Kwani kuwa mtu wa dini ni kuzini na mama yako mzazi ? Wapi mtume Muhammad amefundisha hivyo
Umeshapanic 😂😂

Kuna tofauti Kati ya Mtu wa Ibada na Mtu wa Dini

Wewe ni Mluteri Lakini yawezekana siyo Mtu wa Ibada😃😃
 
Uko sahihi lakini issue ya Bandari ni very sensitive kwa mazingira ya Tanzania ya sasa tunaweza uza nchi bila kujijua.
 
Umeshapanic [emoji23][emoji23]

Kuna tofauti Kati ya Mtu wa Ibada na Mtu wa Dini

Wewe ni Mluteri Lakini yawezekana siyo Mtu wa Ibada[emoji2][emoji2]
Hata uelewi....kasome kitabu cha huyo muisiharamu unayedai mtu wa dini ...kunakitabu ameandika kitafute kisha ukisome ..... huyo ni mmojawapo ya mizee ya ovyo hapa tz ....ndani ya icho kitabu utakuta haya ninayo kuambia ....
 
Uko sawa,wapumbavu hufikiri katika ujuzi wa mtu na sio katika utaratibu uliowekwa.
 
Asante kwa elimu nzuri.
 
Hivi report ya World bank umeisoma??
 
Mtegemea cha nduguye hufa angali maskini,kama unataka Waarabu wakupatie matrilioni mwishowe utakuwa manamba aliyebobea na umaskini utazidi kuwa maradufu.
 
Huyo chawa pro max hawezi kukuelewa.. amejizima data.
 
Mtegemea cha nduguye hufa angali maskini,kama unataka Waarabu wakupatie matrilioni mwishowe utakuwa manamba aliyebobea na umaskini utazidi kuwa maradufu.
"Tunafungua nchi" Wewe mwenzetu upo wapi? Upo nasi au UNAFUNGA NCHI? Tuanzie hapo, ili tujadili hoja pamoja na kwa ufanisi zaidi.
 
Hii nchi wagalatia ndio wenye shida sana,wakatiwe mirija yao yote ya wizi Hawa viumbe
 
Huna bandari wewe zaidi ya hayo mnatakko yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…