Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Si hata Rais Mstaafu Mwinyi walisema anauza nchi? Kiko wapi?

Kwani kuwa mtu wa dini ni kuzini na mama yako mzazi ? Wapi mtume Muhammad amefundisha hivyo
Umeshapanic 😂😂

Kuna tofauti Kati ya Mtu wa Ibada na Mtu wa Dini

Wewe ni Mluteri Lakini yawezekana siyo Mtu wa Ibada😃😃
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Uko sahihi lakini issue ya Bandari ni very sensitive kwa mazingira ya Tanzania ya sasa tunaweza uza nchi bila kujijua.
 
Umeshapanic [emoji23][emoji23]

Kuna tofauti Kati ya Mtu wa Ibada na Mtu wa Dini

Wewe ni Mluteri Lakini yawezekana siyo Mtu wa Ibada[emoji2][emoji2]
Hata uelewi....kasome kitabu cha huyo muisiharamu unayedai mtu wa dini ...kunakitabu ameandika kitafute kisha ukisome ..... huyo ni mmojawapo ya mizee ya ovyo hapa tz ....ndani ya icho kitabu utakuta haya ninayo kuambia ....
 
Huyo unaemwita shujaa aliirudisha gesi yetu mikononi mwetu?
Na je wakati mikataba ya gesi inasainiwa yeye alifanya nini kuzuia akiwa kama Mbunge na Waziri?
Upuuzi wote wamefanya CCM na hakuna ccm yoyote anaeitakia mema hii nchi zaidi ya matumbo yao pekee .
Uko sawa,wapumbavu hufikiri katika ujuzi wa mtu na sio katika utaratibu uliowekwa.
 
Mkuu The Boss,

Ni kweli serikali ya China walimiliki njia kuu za uchumi na kupanga sera zote za uchumi kutoka serikalini (central Planning)

Lakini wachina walinza kurekebisha uchumi wao rasmi mwaka 1978 na wakati huo Tanzania sera za Azimio la Arusha zimeyumba sana.

Mabadiliko ya uchumi wa China yaliitwa Reform and Opening Up na yalibuniwa na Deng Xiaoping akiongoza wanamabadiliko wengine ndani ya chama cha kikomunisti cha China CCP.

Mabadiliko ya uchumi wa China yalikuwa ni mabadiliko kwelikweli kuanzia ndani ya China yenyewe yaani uwekezaji binafsi, ubunifu na ujasiriamali, na ukuzaji uchumi kwa ajili ya soko la ndani. Baada ya hatua hiyo Wachina wakaingia kwenye kuhakikisha waongeza umri wa kustaafu kazi, kudhibiti watu waso na kazi (unemployment) kwa kuhakikisha watu waenda kufanya kazi viwandani, kuhudumia walohitaji huduma za afya na mwisho kufanya mabadiliko katika makampuni na mashirika ya umma katika kuyaendesha na usimamizi wake.

Mwaka 1989 kukawa na matatizo ambayo yalipelekea kukawa na yale maandamano maarufu pale Tiananmen Square na kuna watu walizuia vifaru vya jeshi na watu wengi walikufa.

Maandamani yalee yalitokana na hali ngumu ya uchumi kwani ukianza kufanya mabadiliko ya uchumi ili uuweke sawa ni lazima kuna asilimia kubwa ya watu wataathirika na vyuma vitaanza kubana, na hapo Wachina walijiandaa kwa hilo.

Baada ya haya mambo ya maandamano kuisha mwaka 1992 bwana Deng Xiaoping akafanya ziara kubwa sana kusini mwa China kwenye miji ya Zhuhai, Ghuangzou, Shenzhen na Shanghai na hotuba yake ilikuwa ndo kiini cha miji hiyo kuwa ilivyo leo hii na Ghuangzou ukiwa kitovu cha biashara cha kimataifa.

Hotuba ya Xiaoping ilikuwa ni ya kusisimua na yenye kutia hamasa akasema, ataka mji wa Ghuangzou ufanane na nchi nne ziloitwa Four Asian Tigers ndani ya miaka 20.

Naam, mwaka 2014 China ilikuwa imeipita Japan na kuwa nchi ya pili kwa uchumi mkubwa duniani.

Hivyo, chama cha CCP walifanya na mambo makuu kwa hatua mbili kama yafuatayo:

Hatua ya kwanza

1. Kwa miaka 10 (1970 hadi 1980) kurekebisha njia zitumikazo kwa kilimo na kukifanya kiwe cha kisasa zaidi ili kupata mazao mengi kulisha nchi, kuweka akiba na kuuza nje.

2. Kufungua nchi kwa ajili ya mitaji ya moja kwamoja yaani Direct Investiment.

3. Kuruhusu wajasiriamali kufanya biashara bila woga na kuondoa urasimu.

4. Pamoja na hayo yote mashirika na makampuni ya umma yaliendelea kuwa chini ya serikali.

Hatua ya pili 1980- 1990

1. Kubinafsisha mashirika na makampuni ya umma au serikali kwa watu binafsi/makampuni binafsi ili wayaendeshe chini ya usimamizi mkali.

2. Kuingia mikataba na watu/ makampuni binafsi kuendesha makampuni na mashirika ya umma.

3. Kuondoa udhibiti wa bei na masoko.

4. Kuondoa sera na sheria ngumu zinodhibiti ukuaji wa biashara na mitaji yake.

5. Pamoja ya yote hapo juu bado njia kuu za uchumi kama mabenki, bandari, mashirika kama ya mafuta na rasilimali zingine yalibaki kuwa chini ya serikali.

Mambo haya niloeleza , ndiyo yaliifanya sekta binafsi nchini China kukuwa sana na GDP kufikia asilimia mwaka 2005 na wakti huo bwana Hu Jintao na baadae bwana Wen Jiabao wakiwa mawaziri wakuu waliendeleza libeneke na kuanzia hapo China ikawa tishio kwa Marekani.

CCM imekuwa madarakani tangia ilipoasisiwa kutoka TANU na imeshindwa kuiweka Tanzania katika moja ya mataifa bora kiuchumi katika eneo la maziwa makuu na ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Hatua alozichukua Hayati Mwalimu ni kweli alitaka kuiga Wachina, lakini alikosa watu wa kumsaidia kuangalia ni wapi afanye aloyataka au wapi aache kubana. Pia hata alipokuja mzee Mwinyi nae alishauriwa vibaya juu ya utandawazi na marekebisho ya Uchumi.

Alipokuja hayati Mkapa ndio akaharibu kabisa kwa kuachia njia kuu za uchumi kama benki ya NBC kwenda kwa wageni ambao walimiliki asilimia zaidi ya 60 nq hata yeye mwenye kujigawia sehemu ya rasilimali za taifa.

Mzee Kikwete yeye alitaka tu kufanya kitu chaitwa Checks and Balances (nafikiri wale mazee watanielewa hapa) na mwisho wake uchumi haujulikani umesimama wapi na nani audhibiti.

Alipokuja hayati JPM alijikuta amechelewa na sanasana akaamua kufanya aloyafanya na yalikuja kuleta athari kubwa maana hakujipanga sawasawa.

Wachina walijipanga kwa kila kitu kuanzia chama chenyewe cha CCP na hakukuwa na maombi popote pale ni kazi tu.

Unapofuata sera za Glasnost (uwazi) na Perestroika |(marekebisho) watakiwa kuwa mkweli na si mjanja kama Mikhail Gorbachev ambae kumbe kwa pembeni alikuwa aiuza USSR mpaka ikaanguka.

Lakini Wachina wamefuata kiukweli sera za Glasnost na Perestroika na le hii China ni nchi yenye uchumi mkubwa duniani.
Asante kwa elimu nzuri.
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Hivi report ya World bank umeisoma??
 
Kaeni na umasikini wenu, eti mkidai mapori myakumbatie wenyewe. Ndio maana Kagame anawacheka! Haya kaeni na mapori yenu kama yatawapa Dola za kimarekani. Someni muelimike.
Tanzania si nch ya kupa Trilioni 2 kwa mwezi. ni vioja!
Mngemsikiliza Mwinyi leo mngechezea Trilioni 5 mpaka 8 kwa mwezi. Kalaga baho!
Mtegemea cha nduguye hufa angali maskini,kama unataka Waarabu wakupatie matrilioni mwishowe utakuwa manamba aliyebobea na umaskini utazidi kuwa maradufu.
 
Mkataba wa IOC uliendelezwa? Unajua maana ya kuvunja katiba? Unataka kuhalalisha haramu?
Kuna shida gani kusaini Mkataba wenye kuheshimu katiba tuliyonayo na uhuru wetu?
Usiwadanganye watu...bila Nyerere kuzima lile kundi la G55, wale jamaa wangeanzisha serikali ya Tanganyika. Shingo ilishaelekea kibra
Huyo chawa pro max hawezi kukuelewa.. amejizima data.
 
Mtegemea cha nduguye hufa angali maskini,kama unataka Waarabu wakupatie matrilioni mwishowe utakuwa manamba aliyebobea na umaskini utazidi kuwa maradufu.
"Tunafungua nchi" Wewe mwenzetu upo wapi? Upo nasi au UNAFUNGA NCHI? Tuanzie hapo, ili tujadili hoja pamoja na kwa ufanisi zaidi.
 
View attachment 2678190

Huu wimbo wa kila Rais kuambiwa anauza nchi ulianza kwa Rais Mwinyi, unajua sababu ilikuwaje?

Baada ya Nyerere kwenda China mwaka 1966 akasema akakuta kule China kila kitu kinafanywa na serikali kuanzia maduka ya mchele na sigara hadi magari ya taxi na bakery za kuuza mikate.U communist ulikuwa umepamba Moto sana sana, ingawa leo wachina washaufuta kabisa huo ucommunits. Lakini kipindi Nyerere anaenda huko hadi Suti zile tunaita Kaunda Suit Nyerere alitoa huko kwa wachina. Waziri mkuu wao anaitwa Choun Enlai kama sikosei, Kaunda nae alizitoa huko huko kwa wachina.

Nyerere aliporudi mwaka 1967 akapitisha Azimio la Arusha na kuanza rasmi "siasa za Ujama na kujitegemea" na kutaiifisha biashara zote za watu binafsi na majumba yao na kampuni za Serikali za kuuza mchele na sigara zikaanzishwa kukaja RTC ikaja Co Cabs kampuni ya taxi ya serikali. RTC na maduka ya kijiji na mtaa na shirika la kusaga na kukoboa unga na Makampuni Tele Tele ya serikali.

Ikawa marufuku kwa mwananchi kumiliki taxi yako binafsi hata kununua gari tu Kwa kibali maalum kwanza. Ikawa marufuku kuwa hata na kiduka cha kuuza mchele na unga na sigara, ukifanya hivyo wewe ni mhujumu wa uchumi na bepari na mkabaila. Siasa hizo pia zilifanya kila shirika kuwe na ofisi ya CCM wananchi wanafundishwa utii na itikadi za siasa ya Ujamaa na kujitegemea.

Pamoja na mazuri mengi sana ya Nyerere na siasa ya Ujamaa na kujitegemea lakini ukweli usemwe ku copy kila kitu Kwa wachina bila kuangalia mazingira yetu alikosea sana hasa pale alipojaribu kuanzisha vijiji vya ujamaa. Watu wakaondolewa kwa nguvu kwenye mashamba yao wakalazimishwa kulima shamba la kijiji.

Wengine waliogoma wakachomewa nyumba zao moto waende wahamie kwenye vijiji vya ujamaa, wapo walioliwa na Simba na wengi walipohamia huko wakawa masikini zaidi. Hadi zoezi la vijiji vya ujamaa likapigwa stop, nchi ikaingia na njaa, uzalishaji ukapungua.

Kupata bidhaa kama sigara na mchele au unga ikawa Kwa kupanga foleni na kupigana vikumbo kwenye maduka ya vijiji na mitaa. Hali ikawa mbaya zaidi vita ya Uganda ilipofika.

Wakati Mwinyi anachukua nchi hali ilikuwa mbaya sana ikabidi aanze na kuruhusu watu binafsi wafanye biashara hizo ndogo ndogo kama kuuza mikate, mchele na sigara ili serikali itoke huko. Kampuni kama co cabs ya Taxi ikabidi iaachwe ife kifo cha kawaida, maduka ya RTC ikabidi nayo yafe, watu wenye exposure kidogo na biashara.

Wahindi, waarabu since Wana mitaji ya ndugu zao nje uzoefu wakawa wa kwanza kushika biashara hizo kabla ya waswahili, wachaga, wakinga n.k kuja later kuzishika na kuwa replace kabisa baadae. Wakati haya yote yanayokea alichoambulia Mwinyi ni matusi tu ya "kuuza nchi "na "kuwapa wahindi na waraabu" njia za uchumi as if kuna mswahili aliezuiwa kumiliki duka la kuuza mchele na sigara.

Leo hiii Kariakoo yote imejaa watu wa makabila tofauti, watu wamejiongeza now wanaenda wenyewe popote pale iwe China au Uturuki, haijalishi we mkinga au mchaga unafanya biashara popote Kwa uwezo wako wa akili na mtaji.

Popote leo ukianzisha mashine ya kusaga na kukoboa mchele au duka la jumla hakuna wa kukuita bepari wala kabaila, wala kukutisha.

Kilelele ilikuwa mwaka 1992 ambapo Mwinyi alifuta kabisa Azimio la Arusha na kuleta Azimio la Zanzibar ambalo lilipiga kabisa marufuku ya wananchi kunyayaswa Kwa aina yoyote kuhusu vibali vya biashara, wala kuuliza uliza watu kuhusu biashara wanazotaka kufanya na kuanza kuwaletea zengwe la "makabaila na mabepari"

Matusi aliyopata Mwinyi kuwa "anauza nchi" yalikuwa makubwa sana na mambo ya kumuita Mzanzibari tunataka Tanganyika yalikuwa mengi Sana kama sasa tu au pengine zaidi lakini alipokuja Rais Mtanganyika watu walikuwa tayari washazoea "matunda ya Rais Mwinyi' kiasi washasahau kuwa walikuwa wanataka turudi nyuma tena kwenye maduka ya serikali na taxi za Serikali na maduka ya vijiji na serikali kuuza mikate na sigara.

Sometimes kuwatoa watu kwenye kiza unaweza ambulia matusi makubwa sana. Hadi watu hao wafike kwenye mwanga ndo wanakuja kugundua aaha kumbe tulikuwa tunakuja huku.
Hii nchi wagalatia ndio wenye shida sana,wakatiwe mirija yao yote ya wizi Hawa viumbe
 
Kwani Zanzibar wao ufanisi na uboreshaji wa bandari hawautaki? Mbona Samia haupeleki kwao Zanzibar nao wakafaidike na ufanisi wa bandari kuendeshwa na DP World?

Bamdari zinazofanya vibaya ni za Tanganyika tu za Zanzibar hazina matatizo?

Samia aachane na bandari zetu, akauze za kwao Zanzibar.
Huna bandari wewe zaidi ya hayo mnatakko yako
 
Back
Top Bottom