La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 471
- 737
- Thread starter
-
- #21
Wezi wa mkeo na mali zako nkMi nilifikiri utasema kwamba usikaribishe kila mtu sababu wengine ni wezi, wengine wanaweza kumsumbua mkeo, wengine wanaongea sana- watauza siri zako mtaani something like that 🧠.
Kumbe ni mhanga wa Miungu, Mizimu, Dini na viumbe wengine wa kusadikika.
Je, maadili ya mtu yanategemea imani hizo za kiroho, au yanatokana na uelewa wa haki na ubinadamu?Wezi wa mkeo na mali zako nk
Wanaongozwa na hizo bad spirit wote wapo katika kundi moja
Vyote vinategemeanaJe, maadili ya mtu yanategemea imani hizo za kiroho, au yanatokana na uelewa wa haki na ubinadamu?
Ikiwa maadili yanategemea vyote, je, mtu asiye na imani za kiroho anawezaje kuwa mwema?Vyote vinategemeana
Mtu asiye na iman kiroho hawez kuwa mwemaIkiwa maadili yanategemea vyote, je, mtu asiye na imani za kiroho anawezaje kuwa mwema?
Au tabia njema inaweza kuwepo bila mwongozo wa kiroho?
Sawa, ne je kama mtu anaweza kuwa na tabia njema bila imani ya kiroho, je, inamaanisha kuwa maadili ni ya asili kwa binadamu, au ni lazima yatokane na mafundisho ya kidini?"Mtu asiye na iman kiroho hawez kuwa mwema
Ila tabia njema inaweza kuwepo bila imani ya kiroho ila inategemea
Mbona maswali mengi sana bwana usinichosheSawa, ne je kama mtu anaweza kuwa na tabia njema bila imani ya kiroho, je, inamaanisha kuwa maadili ni ya asili kwa binadamu, au ni lazima yatokane na mafundisho ya kidini?"
Sidhani kama maswali yangu ni mengi, labda ni wewe tu unayekwepa kujibu.K
Mbona maswali mengi sana bwana usinichoshe
Wapi nilipo kwepa lengo lako hasa ni lipi kwa maswali hayoSidhani kama maswali yangu ni mengi, labda ni wewe tu unayekwepa kujibu.
Kila swali lina mantiki yake.
Lini nilikuambia napenda ligi? Hauna uthibitisho kausha ibaki tu kama propaganda.Unataka nidhibitishe nin umbile lisilo onekana au
Mbona unapenda ligi sana
Lengo langu ni kujua unavyoona maadili na imani. Ikiwa unadhani hakuna shida kuuliza maswali, basi tujadili kwa wazi badala ya kutoka nje ya maada.Wapi nilipo kwepa lengo lako hasa ni lipi kwa maswali hayo
Kukusoma tu inatosha kutambua hiloLini nilikuambia napenda ligi? Hauna uthibitisho kausha ibaki tu kama propaganda.
utawajuaje kama huyu ana roho chafu au safi? Bibilia inasema karibishaneni ninyi kwa ninyi maana kwa kufanya hivyo mnaweza kuwakaribisha na malaika, akija na roho chafu inabidi aondoke nayo unakubalije akaiacha?Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Beware of strangers. That's all you were supposed to say instead of just hitting around the bush..Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
ndi kwanza mwaka umeanzaMh! imani nyengine hovyo!
Kutambua huyu ni mwema au mbaya ni ngumu sanautawajuaje kama huyu ana roho chafu au safi? Bibilia inasema karibishaneni ninyi kwa ninyi maana kwa kufanya hivyo mnaweza kuwakaribisha na malaika, akija na roho chafu inabidi aondoke nayo unakubalije akaiacha?
Beware of strangers. That's all you were supposed to say instead of just hitting around the bush..
Basi kama unaamini hivyo, wewe wakaribishe, maana unaweza sema huyu simkaribishi sio mwema kumbe ndio mwema, cha msingi izingire nyumba yako kwa damu ya Yesu, ili kama anakuja na matunguli yake ayaache huko hukoKutambua huyu ni mwema au mbaya ni ngumu sana
Maombi yanaitajika katika hilo akija na mambo yake basi yamrudie mwenyewe