Unakuta na wewe unafamilia inakutegemea kama kaka yao, mjomba wao, baba yao na pengine ukute ni mme wa mwanamke 1 hapa duniani😂😂..Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege. Soma hapaView attachment 2192310
Hata Kassim naye si alituambiaga Magufuli ni mzima na anachapa kazi?so far wamekanusha jioni hii
Ma pilot waende tu Chato.Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege. Soma hapaView attachment 2192310
ni kweli unachosema mkuu,Hata Kassim naye si alituambiaga Magufuli ni mzima na anachapa kazi?
Ni swala la muda tu.
Pigo jingine kwa sukuma gang.Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege. Soma hapaView attachment 2192310
Mungu anaweza sanaMungu ni fundi sana!!
Pigo kuu kwa sukuma gang kama weweHiyo account ya Air Tanzania itakua ya hapo ufipa.
Verified account ya air tanzania twitter haina hiyo taarifa.
Sasa ndiyo nini hapa? Uwanja hauna abiria wa kutosha wewe bado unaleta pumba hapaMuache Propaganda zisizokua na kichwa wala miguu. Habari za kizushi na Uongo wa wazi.
Kuna haja ya JF kuchukua hatua.
Safari zipo pale pale.Booking ya Keshokutwa, Alhamisi.View attachment 2192313
Pumbaf sana wewe ,hizo tabia za kunywesha watu sumu hapa Tanzania siyoutamaduni wetu na inaonekana wewe siyo mzawa wa nchi.Unakuta na wewe unafamilia inakutegemea kama kaka yao, mjomba wao, baba yao na pengine ukute ni mme wa mwanamke 1 hapa duniani[emoji23][emoji23]..
Sawa bana ndio maana ya utanda- wazi.
Wajinga kama nyie mlitakiwa kunyweshwa sumu pindi mnazaliwa
Eti haendi sokoniHata Kassim naye si alituambiaga Magufuli ni mzima na anachapa kazi?
Ni swala la muda tu.
Pigo kwa wana birigiMnajitekenya na kucheka wenyewe.
Hiyo mimba itoe, itakutesa tuEti haendi sokoni