Si kweli kuwa ATCL imefuta safari za Ndege kuelekea Chato Geita

Si kweli kuwa ATCL imefuta safari za Ndege kuelekea Chato Geita

Hiyo account ya Air Tanzania itakua ya hapo ufipa.

Verified account ya air tanzania twitter haina hiyo taarifa.
Je unejiridhisha kuwa kuna abiria wa kutosha kwenda Chato international Airport au tunachoma tu mafuta????
 
ATCL walikuwa na LONG TERM BUSINESS PLAN ambayo Ilikuwa viable lakini ikaja kuvurugwa baada ya Magufuli kuliweka shirika directly under White House control. Wakaanza kununua ndege bila mpango ,hata bila kujua zingekenda routes gani!!! Hawawezi kwenda routes nyingine kwa kuogopa madeni hence the planes are underutilized.
Tulishabishana sana humu kuhusu biashara ya ndege kwenye mada za barafu kabla na baada ya ununuzi wa ndege kwenye kila angle.

Personal nilijikita kwenye business plan na maswala ya finance, kilichonifanya niache kujadili hizi mada za biashara ya ndege asilimia kubwa ya wachangiaji ata ‘hesabu za service costing’ ili kuamua bei ya ticket ilikuwa shida kuelewa na huyo aliezinunua kutwa anasifia midege yake.

But hii biashara ilikuwa inaenda kuanguka mapema sana, hawa watu tunaowaita wataalamu wengi wao ukiwasikiliza tu kwa mtu ata mwenye abc ya mambo madogo kama mimi kwenye sector husika unaona mkurugenzi hamna kitu.

Ndege kukabidhiwa mamlaka ya serikali badala ya ATCL was for financial reasons. Magufuli alitumia hela taslimu za walipa kodi kununua ndege; ATCL ni biashara so wanatakiwa kuzilipia through financing kama biashara nyingine yoyote inavyofanya kwenye long term assets investment za plant and machinery.

Sasa badala ya kudaiwa na banks kama wangenunua wenyewe, wanadaiwa na serikali kwa sababu imewanunulia.

Either way it’s still pathetic na makelele ya bure tuu ndege zenyewe bado wanazitumia pamoja na madeni ya serikali; ingekuwa bank ndio mdeni sasa hivi zishachukuliwa, na hazina sasa hivi inalipa madeni ya ndege Banks.

Can you see why Magufuli was a genius kukwepa risks zote hizo akaona serikali izinunue na kuwakodisha, kuliko Banks wa finance hizo ndege; vinginevyo sasa ungekuwa mziki mwingine kama zingekuwa hela za mkopo wa bank au hire-purchase.
 
Unakuta na wewe unafamilia inakutegemea kama kaka yao, mjomba wao, baba yao na pengine ukute ni mme wa mwanamke 1 hapa duniani[emoji23][emoji23]..

Sawa bana ndio maana ya utanda- wazi.
Wajinga kama nyie mlitakiwa kunyweshwa sumu pindi mnazaliwa
Duh!!!!
 


Nchi kubwa duniani kama US, Canada, Australia, Russia na China zina airport kibao ambazo sio busy zingine kubwa Chato cha mtoto; na bado zina operate.

Kushindwa kupeleka ndege Chato issue aiwezi kuwa uwanja auna economic benefits; it’s just that shirika la ndege lina business plan mbovu.

YouTube ina documentary nyingi sana interesting for free, ebu tutumie free time kujifunza mambo mbali mbali duniani sio kuangalia tu kuna umbea gani unao trend.

Huko Alaska kuna bush airports zinatua ndege za watu 20-30 na zipo busy, ukienda Canada shirika kubwa la ndege linamiliki mpaka beech 1900 planes kwa mazingira yao ilikuchukua abiria wachache maeneo yasiyo busy kuwapeleka miji mikubwa for connection flights or connecting people within small cities. Chato inaweza kutumika na ndege kama hizo kwenda mwanza, musoma, kagera, tabora etc.

Ikitokea Chato kufungwa au airport yoyote Tanzania ni weredi wa management ya ATCL, halafu ata Sumbawanga Magufuli kawapa airport, Iringa alikarabati na maeneo mengi tu Tanzania; mbona hizo airport aziongelewi.
Kwanza jifunze matumizi ya "h". Pili; usilinganishe Tanzania na nchi kama US, Australia and the like. Tatu; hata kama kulikuwa na umuhimu wa kujenga airport kama hizo ulizosema ndiyo ilikuwa ijengwe Chato? Hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Nne; hakukuwa na umuhimu wowote wa kujenga airport Chato.
 
Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege.


=====
Fact Check: Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) halijafuta safari zake kuelekea Geita ambapo ndege hutua katika Uwanja wa Ndege wa Chato.

Hivi karibuni kumekuwa na uvumi unaonezwa katika mitandao ya kijamii ambayo haina uthibitisho wa Tangazo wanalolisambaza. ATCL haijatoa kauli yoyote ya kufuta safari kuelekea Geita.

Tunandika taarifa hizi tukiwa tumewasiliana na ATCL ambao wamesema safari ziko tatu kwa wiki kama ilivyokuwa awali na ndege hutua uwanja wa ndege wa Chato
Ndio wamwfuta na sio ajabu,lakini watu wa chato wanaweza kuutangaza mji wao na baadae ukapata watalii na atcl itaenda tu
 
Je unejiridhisha kuwa kuna abiria wa kutosha kwenda Chato international Airport au tunachoma tu mafuta????
Ngoja nikusaidie kama hunauelewa wa aviation. Ni hivi kutoka Dar to Chato then Mwanza back to Dar ni route njema na wala hakuna hasara yamafuta hata tukipata abilia wawili wa kushuka na kupanda ila in avaerage tunashusha 10 na kupandisha 8-10, sasa kwa kuwa tunakuwa intransit hiyo iko vyema.Shida ingekuwa ni route ya kutoka Dar to chato then to Dar hapo ingekuwa ni issue
 
Kwanza jifunze matumizi ya "h". Pili; usilinganishe Tanzania na nchi kama US, Australia and the like. Tatu; hata kama kulikuwa na umuhimu wa kujenga airport kama hizo ulizosema ndiyo ilikuwa ijengwe Chato? Hayo ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Nne; hakukuwa na umuhimu wowote wa kujenga airport Chato.
Kwanza jifunze kujibu hoja ki mantiki kabla kukariri upuuzi unaodhani ni muhimu kwangu.

Pili uwanja wa ndege aujengwi kwa sababu ya utajiri wa nchi bali for travel purposes.

Tatu jifunze kuandika and how to use a semicolon; hujui hata grammar rules wala kujenga unbiased argument halafu unataka kufundisha watu kuandika.

On what merit hoja yako ina justify Chato is not qualified kuwa na uwanja ndege Tanzania?

Mwisho matumizi mabaya ya pesa sio nadharia, inabidi uonyeshe low return ya uwanja wa ndege katika angle nyingi za uchumi. Mfano, return on investment, non impact of the airport to local businesses, unjustified merit good, unlikely future economic benefits and so on.

Uwezi kujiandikia upuuzi tu kwa sababu ukubali kitu ukadhani ndio hoja, justify why? Ukufundishwa kuandika arguments based analysis and evaluation as a means of justifying an argument huko chuo wakati unaandika essay. Surely those are transferable skills, mtu msomi awezi kuandika arguments nyepesi kama zako na kuja kukejeli watu humu.
 
Sumu hatunywi, ila hilo liuwanja halina tija. Hata hao abiria wachache wanaoteremkia hapo ni wa Ngara, Muleba na Karagwe.

Mwendazake alifuja sana Kodi zetu kwa kuwekeza kipumbafu Kijijini kwake
Hivi wewe hujui kuwa kuna mji wa kibiashara katoro na geita yenyewe. Huko unakosema abiria wengi wa Chatto airport wanatoka hata sielewi unatumia kigezo gani? Au kwa sababu huko nilikoseama wanatoka wasukuma ndo maana hupatai? Hivi hujui kuwa wapanda ndege wengi wa ukanda huo ni wasukuma na wahaya?
 
ATCL walikuwa na LONG TERM BUSINESS PLAN ambayo Ilikuwa viable lakini ikaja kuvurugwa baada ya Magufuli kuliweka shirika directly under White House control. Wakaanza kununua ndege bila mpango ,hata bila kujua zingekwenda routes gani!!! Hawawezi kwenda routes nyingine kwa kuogopa madeni hence the planes are underutilized.
Long term business plan kabla ya Magufuli walikuwa na ndege gani yakuwafanya wawe na long term business plan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Nchi kubwa duniani kama US, Canada, Australia, Russia na China zina airport kibao ambazo sio busy zingine kubwa Chato cha mtoto; na bado zina operate.

Kushindwa kupeleka ndege Chato issue aiwezi kuwa uwanja auna economic benefits; it’s just that shirika la ndege lina business plan mbovu.

YouTube ina documentary nyingi sana interesting for free, ebu tutumie free time kujifunza mambo mbali mbali duniani sio kuangalia tu kuna umbea gani unao trend.

Huko Alaska kuna bush airports zinatua ndege za watu 20-30 na zipo busy, ukienda Canada shirika kubwa la ndege linamiliki mpaka beech 1900 planes kwa mazingira yao ilikuchukua abiria wachache maeneo yasiyo busy kuwapeleka miji mikubwa for connection flights or connecting people within small cities. Chato inaweza kutumika na ndege kama hizo kwenda mwanza, musoma, kagera, tabora etc.

Ikitokea Chato kufungwa au airport yoyote Tanzania ni weredi wa management ya ATCL, halafu ata Sumbawanga Magufuli kawapa airport, Iringa alikarabati na maeneo mengi tu Tanzania; mbona hizo airport aziongelewi.

Ni uhayawani kujenga airport Chato ili uje u-justfy commercial viability kwa kuingia YouTube kutafuta viwanja vya Alaska. Hiyo siyo akili ni matope
 
Hivi wewe hujui kuwa kuna mji wa kibiashara katoro na geita yenyewe. Huko unakosema abiria wengi wa Chatto airport wanatoka hata sielewi unatumia kigezo gani? Au kwa sababu huko nilikoseama wanatoka wasukuma ndo maana hupatai? Hivi hujui kuwa wapanda ndege wengi wa ukanda huo ni wasukuma na wahaya?
Wasukuma watapandia Mwanza, Wahaya watapandia Bukoba. Jiulize ingekuwaje kama hizo fedha za kujenga Chato kma zingekwenda ku upgrade Mwanza Airport?

Ingekuwa bonge la idea!!
 
Long term business plan kabla ya Magufuli walikuwa na ndege gani yakuwafanya wawe na long term business plan?

Sent using Jamii Forums mobile app
Long terms business plan ya ATCL kabla ya Magufuli ilikuwa kukodi ndege mbovu kwa mkataba wa kuzitengeneza zikiaribika nothing to do with scheduled maintenance na kulipa hela nyingi za lease fees kila mwezi on grounded planes.

Shirika lilikuwa linatengeneza madeni ya kukodi ndege huku zikiwa zimepaki mbovu, hapo kulikuwa na business plan kweli.

Wakurugenzi wanakwenda ulaya kutafuta viti vya ndege, yes ilikuwa tunakodi ndege hadi viti chakavu. Matokeo yake inabidi waende ulaya kutafuta viti, mpaka aliekuwa anawatafutia viti namjua.

Walivyokosa ustaarabu sasa wakishaonyeshwa chimbo wanamzunguka middleman wanaenda wenyewe na ivyo viti bei wanaikuza balaa hazina inalipa.

Hiyo ndio ilikuwa ATCL aliyoikuta Magufuli, kutoka kuwa na ndege mikweche; mpaka ndege 11 mpya na bado biashara inawashinda.

Watanzania mnamkosea sana Magufuli, lazima mungu atawaadhibu hawa watu kwa namna moja au nyingine.
 
Wasukuma watapandia Mwanza, Wahaya watapandia Bukoba. Jiulize ingekuwaje kama hizo fedha za kujenga Chato kma zingekwenda ku upgrade Mwanza Airport?

Ingekuwa bonge la idea!!
Mwanza airport iko under upgrading mpaka sasa wanamalizia jengo la abiria jengo la mizigo tayari siku nyingi. Nani alikwambia mwanza au bukoba wanapanda hao tu. Kuna kahama pia flight ipo kwa hiyo usikariri maisha.
 
Ni uhayawani kujenga airport Chato ili uje u-justfy commercial viability kwa kuingia YouTube kutafuta viwanja vya Alaska. Hiyo siyo akili ni matope
Commercial viability sio kuweka viwanja ni business plan kiwanja kilipo. Ukuona hapo nilipoandika air canada ina carriers za watu ishirini mpaka thelasini wanazotumia kusafirisha watu kutoka mji mdogo mmoja kwenda mwingine au wanazitumia kama connection flight za kwenda busy airports.
 
Yasemekana hauna abiria wa kutosha kupeleka ndege.


=====
Fact Check: Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) halijafuta safari zake kuelekea Geita ambapo ndege hutua katika Uwanja wa Ndege wa Chato.

Hivi karibuni kumekuwa na uvumi unaonezwa katika mitandao ya kijamii ambayo haina uthibitisho wa Tangazo wanalolisambaza. ATCL haijatoa kauli yoyote ya kufuta safari kuelekea Geita.

Tunaandika taarifa hizi tukiwa tumewasiliana na ATCL ambao wamesema safari ziko tatu kwa wiki kama ilivyokuwa awali na ndege hutua uwanja wa ndege wa Chato
Itakuwa kama kule kwa dictater Mobutu.

Ni chato ya baadae
344256e0-a388-43f5-90ff-6070f05a8e56-2060x1310.jpg
gbadolite-congo-7.jpg
4e0cb6fb5fb446d1c92ede2ed8780188-1504621710.jpg
gbadolite-congo-8.jpg
 
Nani anapanda ndege huko,baada ya yule Bwana
 
Back
Top Bottom