Si niliwaambia msio:- Bado tu mnawaza ndoa? Mtagongewa mpaka mfe..!!!

Hili nalo nenoo hao madem sio pisi kali
 
Makosa ya mtu mwengine unawaambia watu wengine wasioe?
Makosa sio ya mtu mwengine (mmoja) makosa ni ya watu zaidi ya 401.
Na hao waliopelekewa miti asilimia kubwa WAMEOLEWA.
Hao mademu hawaliwi ambao wewe unawala?
Sijawaambia msiwale ila nimewakumbusha MSIOE.
Kila mtu afanye anachotaka kuna ndoa zina amani sana na wanaongoza kujiuwa ni viumbe ambao hawako ata kwenye ndoa!!!
Hata hao 400 waliogongwa kibao ndoa zao zina amani ila mwamba kawalambisha dudu.
Endelea kukataa ndoa mkuu ila omba mungu asikupe umri mrefu pia.
Unaweza ukaoa ukiwa na miaka 30 na kufika miaka 60 mkeo akafa, then ukaishi muda mrefu bila mke.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Nadhani hizi species za kike hauna experience nazo vyakutosha, in fact she will cheat to the guy who is even worse than you think you are.
 
Mbona nyie KN (Kataa Ndoa), ndiyo mnajishughulisha mno na yasowahusu..? Wenye Ndoa zao wamekaa zao tu kimya na maumivu yao moyoni..!!

'pilipili usoila yakuwashia nini'..?
Wenye ndoa ndo walikua wanatuandama sana tulikaaa kimya saivi tunawapa references tu
 
Mkuu Mimi ndume bwana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…