Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe


Tangu nijiunge na JamiiForums sijawahi kuona mtu amejihoji maswali ya kijinga kama huyu. Sidhani kama kuna mtu atakufunika kwa kujihoji maswali ya kijinga zaidi ya haya.
Nakusalimia braza mwerevu.

#YNWA
 
Mmeona picha za kijakazi mwenyewe!?
 
Mnaozungumzs kwa upande wa kukataa yawezekana hamjao na kuolewa. Lakini niwaambie tu ukiwa na pesa na ukishindwa kujiheshimu utaona kila kitu unaweza kufanya.

Ukweli ni kuwa yawezekana ameshakula secretary wote wanaomzunguka. Akawa anatafuta kitu kipya cha kujaribu.

Ofis ya Rais, ni taasis kubwa haikurupuki ikatoa pdf moja tu. Ku aushahidi wa kitu alichofanya hata kama sio hicho cha ubakaji wa bint yake. Yawezekana hata kutoheshimu miiko ya uongozi yake kutokana na cheo chake.

Wenye kuamini tabia za huyi boss ni yule aliyeliwa na boss hata kama aliokotwa club.

Possibly, ndani kulikuwa kunafukuta muda mrefu na mke akatafuta suluhisho lakini kutokana na nyadhifa aliyonayo yawezekana mke hakusikilizwa so akamtegea mtego. Hakuna mke asiyependa kuendesha gari anayotaka akaamua kuvunja ndoa ya mume wake kirahisi.

Yawezekana bint angekuja kuwa mke wa pili, mke akawahi asije akaishi na mtu aliyekuwa anamtuma.

Kuna uwezekano mkubwa boss kala vitu vya moto. Wanaume tunajuana tabua zetu. Ila ndio arobaini imefika.
NDOA ZINA MAMBO MENGI ILI MUISHI NA MEEKE PQMOJA INABIDI MMOJA AWE MJINGA.
 
Huyo mke wa mkurugenzi yeye mwenyewe malaya watu wana ushahidi kibao wanasubiri atulie wamwage ushahidi barabarani ana bwana wake mwalim wa kitomondo hakuna asiejua na picha watu wanazo tunasubiria mvua iishe tutaweka mpaka humu
 
Kubaka inatakiwa mwanamke aripoti siku hiyo hiyo kabla hajaoga, sasa ushahidi uko wapi?
 
Duuh
 
Shida ilianzia kwa DED alifeli kutembea na Kijakazi , alichopaswa yy nikutafuta nje na nyumba yake , ila mke wa DED nae hajielewi alipaswa atulie ale unga .
Mke wa DED mission yake ni DED afungwe yeye abaki kama mrithi wa mali zote za mfungwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…