Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #181
DEDNa kataa ndoa wangepata point 10 kabisa. Ila hapa wanavyojitoa ufahamu sasa!!
Nakusalimia braza mwerevu.
Tangu nijiunge na JamiiForums sijawahi kuona mtu amejihoji maswali ya kijinga kama huyu. Sidhani kama kuna mtu atakufunika kwa kujihoji maswali ya kijinga zaidi ya haya.
Mmeona picha za kijakazi mwenyewe!?INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Kaisaidie mahakama.DED hajabaka na kataaa, na ukute hata ladha ya mbunye ya Dada wa kazi haijui.
Mke katafuta Kona ya kumuangamiza DED KAMPATA..!!
#YNWA
Nawakumbusha tu WAACHE KUOAKaisaidie mahakama.
Kuna mtu kaoa huu mdomo...!!!Kama alivyo mamayo alibakwa mkndn akabeba mimba yako ukajambwa na weye ukaendeleza kufirika na mateja 🖕🏿🖕🏿🖕🏿
Hahaa..huyo atakuwa kakalia bomu...siku likilipuka analo...Sio kwa matusi hayo....Watu wanamatusi makali mpaka shetani anajishtukia..Kuna mtu kaoa huu mdomo...!!!
#YNWA
Nyongeza:A wife become a knife
Zipo wapi?Mmeona picha za kijakazi mwenyewe!?
DuuhINTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Picha ikowapi?Mmeona picha za kijakazi mwenyewe!?
Hapa mwisho hapaMwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Ndio maana ulawiti Tanzania hauishi.Hawa walawiti kesi zao zimeishia wapi?
Mke wa DED mission yake ni DED afungwe yeye abaki kama mrithi wa mali zote za mfungwaShida ilianzia kwa DED alifeli kutembea na Kijakazi , alichopaswa yy nikutafuta nje na nyumba yake , ila mke wa DED nae hajielewi alipaswa atulie ale unga .