Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Ila tuache tu utani wanawake kwa upande mwingine ni changamoto sana!
Acha tu maisha yaendelee lakini sijawahi kuona importance wa nwanamke zaidi ya uzazi, baada ya kugundua ngono sio kitu cha muhimu kinachompa furaha ya moja kwa moja mwanadamu.
NAKAZIA HAPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…