ROHAN_
Member
- Mar 10, 2023
- 43
- 48
Ishu kujua kama ni muoaji kweliWaoaji bado wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishu kujua kama ni muoaji kweliWaoaji bado wapo
Hahaha halafu utakuta wengi mnaoandika hivi mko kny ndoa hapa mnachangamsha tu genge.[emoji419][emoji419][emoji419]
TOKOMEZA NDOA
NDOA NI BIASHARA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KAMA NA WEWE NI KAMA MIMI HUNA MPANGO NA NDOA SHIKA KICHWA SHIKA KICHWA.. in nay wa mitego's voice..
Yoyote anayetaka kuoa ni muoaji. Kudumu kwenye ndoa ni jambo lingineIshu kujua kama ni muoaji kweli
mmh!! somehowYoyote anayetaka kuoa ni muoaji. Kudumu kwenye ndoa ni jambo lingine
HakikaBIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.
100%BIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.
WENGI WANAO ACHA MALI, WANA ACHA KWA AJILI YA MACHO YA WATU. KIMOYOY MOYO WANAUMIAHalafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""
What a f*ck..!!
Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
Kwenye ubora wako
😂😂oeni jamani
Waoaji bado wapo
Mmoja kati ya jamaa zako analialia huku alikuwa kundi la kataa ndoa sasa anapiga kelele huku.
👇👇👇
Ushauri: Nataka kufanya lolote kuzuia asiolewe, bado nampenda sana
Niliumia sana maana sikuwahi kupenda before, ni yeye niliyempenda. Nikambembeleza sana lakini wapi. Hali ya kuwa alikula vitu yangu vingi tu, na sikuwahi ku sex nae; alisema no sex before marriage nilikubali. Sasa ni miaka kadhaa imepita nasikia anaolewa, aisee, roho inaniuma sana, sana, sana...www.jamiiforums.com
Hili jina ndio nalisikia leo.
oeni kwa akili mkuu
Hakika
100%
Wake wazuri wapo sio kila ndoa ni jehanamuIko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"
The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini
Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.
#YNWA
Mimi ntauja kusign pre nup sitaki ujinga mimiTaasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.
Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.
Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]
Sio ng'o!!!
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""
Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.
2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa
3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.
4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.
Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.
Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""
What a f*ck..!!
Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""
Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""
maaannn😳😳 what upyaaa..!!
Hebu cheki hizi comments 👇👇👇
What is this?? 🤷🤷
CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.
Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.
Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.
#YNWA