Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

haya mambo yanafikirisha sana, yani mtu wakati unatafuta, anakupa na mastress mara akuombe ombe hela, mara kachepuka, unamvumilia, na hachangii hata kitu kimoja, ukijichanganya ukaoa tu. mkiachana utasikia tugawane vitu tulivochuma wote. chuma wote na nani mbwa wewe.
 
mtu haujali familia yako wakati imekulea, imekusomeaha, imekuuguza yaani unajinyima ujenge, ununue usafiri, unatafuta na kadada, ndani ya mwaka tu mali zinakuwa zake.
ukisema unataka upeleke gari kwa wazazi we utapanda daladala kijitu kinaanza kupiga kelele. kelele za nyoko kwenda huko.
kuoa ni utapeli.
 
Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!
WENGI WANAO ACHA MALI, WANA ACHA KWA AJILI YA MACHO YA WATU. KIMOYOY MOYO WANAUMIA
TENA UNAKUTA WAZAZI WAKO WANAHUITAJI SANA SANA, BWEGE UNA ACHA VYAKO!
KAMA ALISHINDWA KUKUONA WEWE WA MAANA, NDIO ATAKUONA WA MAANA KWA KUACHA MALI?
 
Akili za kuambiwa siku zote changanya na za kwako ili ufanye maamuzi yenye busara.
 
Kwenye ubora wako

😂😂oeni jamani

Waoaji bado wapo

Mmoja kati ya jamaa zako analialia huku alikuwa kundi la kataa ndoa sasa anapiga kelele huku.

👇👇👇

Hili jina ndio nalisikia leo.

oeni kwa akili mkuu



Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"

The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini

Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.

#YNWA
 
Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"

The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini

Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.

#YNWA
Wake wazuri wapo sio kila ndoa ni jehanamu
 
Taasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.

Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.

Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]

Sio ng'o!!!
Mimi ntauja kusign pre nup sitaki ujinga mimi
 
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""

Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.

2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa

3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.

4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.

Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.

Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!

Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""

Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""

maaannn😳😳 what upyaaa..!!

Hebu cheki hizi comments 👇👇👇
What is this?? 🤷🤷











CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.

Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.

Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.

#YNWA

Ndio maana Mimi naamini katika Falsafa ya kuoa mkiwa wote mpo 0-0
Ilihata ikitokea lakutokea sio shida kupiga pasupasu.
Na wote muwe mnashiriki kwenye uzalishaji Mali
 
Back
Top Bottom