Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.
Asante KATIBU.NDOA NI UTAPELI
KATAA NDOA
TOKOMEZA NDOA
Unateseka unajenga kwa kujibana, takataka mmoja inakuja ku split asset yako kiulaini kabisa
HAWASIKII HAWA WAACHA WAPIGWE HUKO
Kabisa mkuuDunia huzunguka tu Haijalishi yanayojiri juu yake.
#YNWA
Taasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.
Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.
Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]
Sio ng'o!!!
Poleni sanaaa mabaharia.
#YNWA
Na kudhulumiwa @ kugawana Mali huwa mnakuwa na akili timamu?Issue ya kuoa sio ya kuambiwa au kutoambiwa. Ni mambo ya mtu binafsi akiwa na akili timamu.
Aweke wapangaji wao wakaanze upyaAna mjengo anaogopa kuuacha na kuanza UPYA.
#YNWA
Ohoooo nsamehe nimekosa mimi, nimekosa sanaNaona umeamua kunichokoza makusudi, na kunitonesha kidonda changu 🤦🤦🤦🤦
😭😭😭😭Ohoooo nsamehe nimekosa mimi, nimekosa sana
Baadae ntakupooza😭😭😭😭