Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"

The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini

Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.

#YNWA
Vizuri mkuu....
 
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""

Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.

2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa

3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.

4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.

Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.

Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA[emoji15][emoji15][emoji15]""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!

Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""

Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""

maaannn[emoji15][emoji15] what upyaaa..!!

Hebu cheki hizi comments [emoji116][emoji116][emoji116]
What is this?? [emoji1745][emoji1745]











CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.

Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.

Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.

#YNWA
Oa wewe
 
Iko hivi...
Yaani na hustle hivi, halafu sijui ndio nioe, then atokee mtoto wa mtu anatamka "Hizi Mali tunagawana" "Hii nyumba utatoka wewe utaniacha"

The results:-
Mwandishi wa JF atapost habari moja kati ya hizi
1. Nimeenda jela
2. Nimeenda kaburini

Ila sio kuachia vyangu KIRAHISI HIVYO.

#YNWA
Kuna comment yako moja ulidai usipangiwe maisha kuoa sio lazima. So na huu uzi wako ukiusoma ukae ukijua kwamba maisha ni yako na hakuna mtu atakushikia bunduki kuoa. Hutaki kuoa ni wewe maamuzi ni yako. Kuna watu wanaoa, na wataendelea kuoa hili huwezi zuia kamwe. kila mtu afanye analoona kwake ni sahihi.
 
Kuna comment yako moja ulidai usipangiwe maisha kuoa sio lazima. So na huu uzi wako ukiusoma ukae ukijua kwamba maisha ni yako na hakuna mtu atakushikia bunduki kuoa. Hutaki kuoa ni wewe maamuzi ni yako. Kuna watu wanaoa, na wataendelea kuoa hili huwezi zuia kamwe. kila mtu afanye analoona kwake ni sahihi.

Angalia basi usimfukuze mwamba kwenye Mali zake.

#YNWA
 
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""

Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.

2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa

3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.

4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.

Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.

Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!

Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""

Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""

maaannn😳😳 what upyaaa..!!

Hebu cheki hizi comments 👇👇👇
What is this?? 🤷🤷











CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.

Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.

Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.

#YNWA
Ni upumbavu kupoteza rasilimali jasho langu kwa namna yoyote ile kisa mtu ambaye tumekutana vitovu vikiwa vimekauka.

Yy ndo atafanya uchaguzi kati ya kusepa ama avute kimyakimya.

Sisi wanaume huwa tuna kasumba ya kupambanisha moyo na macho, macho yanaona kabisa kuwa mke huyu hana nia njema na wewe lkn moyo unakwambia habari za ya kwamba ni mke wako na ni mzazi mwenzio hivyo mhurumie (utu).

Lkn mwanamke akiwa na mpango wake na ikiwa ili mpango ukamilike unatakiwa mwanaume uondoke utaondoka duniani within seconds,hata dakika haitimii,hana wakati wa kufikiria sijui alikuwa akinyonya mpaka mic,sijui wewe ni baba bora wa watoto wake,hilo halipo.

Nina mke lkn huwa nina jambo 1 tu, nikiona na kutambua kuwa hatuna mipango ya pa1 mapema tu kwao anarejea,hizo mbwembwe zake sijui nyumba mara nini asubiri nitakapo wagawia watoto atapata kupitia hao.
Atafutika kutoka kwenye daftari la kudumu kabla ya yy kuniondoa indirect or direct.

Mimi huwa napiga story na hawa wanawake na hasa single mothers,na huwa wanasimulia ya wenzao walioko ndoani jinsi wanavyokuwa wanawaombea waume zao vifo ama vifungo vya muda mrefu magerezani.

Jamani,hali ni mbaya. Wanawake walio wengi (siyo wote)huwaombea waume zao mabaya pindi waonapo kuwa hata mmewe akiondoka maisha hayatakuwa mabaya sana kwakuwa tu wamejenga,wana vitega uchumi kiasi nk.

Kaa na single mothers vizuri haya mastori wanayo sana mpaka mifano ya mikasa hiyo wanakupatia.
 
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""

Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.

2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa

3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.

4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.

Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.

Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA[emoji15][emoji15][emoji15]""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!

Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""

Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""

maaannn[emoji15][emoji15] what upyaaa..!!

Hebu cheki hizi comments [emoji116][emoji116][emoji116]
What is this?? [emoji1745][emoji1745]











CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.

Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.

Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.

#YNWA
Ooza oshey mr [emoji383] [emoji1787]
 
Naona ishu ya Kukataa Ndoa imejikita ktk MALI.

Mie nashauri vijana wenzangu hakuna KUOA Maskini (Hoehae) mara kumi udhulumiwe na Tajiri sio Maskini huwa inauma sana.

Kampeni iwe KATAA Kuoa Maskini.
Itaweka mambo sawa kbs.
 
Ila tuache tu utani wanawake kwa upande mwingine ni changamoto sana!
Acha tu maisha yaendelee lakini sijawahi kuona importance wa nwanamke zaidi ya uzazi, baada ya kugundua ngono sio kitu cha muhimu kinachompa furaha ya moja kwa moja mwanadamu.
📌📌

#YNWA
 
Back
Top Bottom