Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nachoweza kusema ni kwmb City ashakunyea 3 huko Etihad,najua haihusian na mada
Sent using Jamii Forums mobile app
Shogaa at workTaasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.
Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.
Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]
Sio ng'o!!!
Tatizo Kuna BAN.SHOGA AT WORK....
tushawajua..kataa ndoa wote ni mabwabwaa.
Changamoto JF ina ban.Shogaa at work
WordBIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.
Una maanisha upate mtonyo was kutosha?? AnalyseMpaka Azazel aitikie wito. Nipate mzigo wa kutosha 😅😅😅
nakusalimia ChouderWord
poa, za kupotea....[emoji28][emoji28] mambo
Nzuri.....[emoji28][emoji28]poa, za kupotea....
haya, tuendelee kuishi😂Nzuri.....[emoji28][emoji28]
Sawa tuendelee [emoji28][emoji28]haya, tuendelee kuishi[emoji23]
Yes taasisi ya ndoa itaendelea kuwepo milele na milele , hyo ni nature , hakuna raia wa kuweza kuipinga , ikikushinda unakaa pembeni , unaenda kujifia huko mbele Kwa mbele , watu wataendelea kuoa na kuolewa mpak sku Ile mwenye dunia yake atakapokujaBIla kujali mahubiri yako. Wanaume wataoa, Wanawake wataolewa, ndoa zitadumu, ndoa zitavunjika, wasiotaka kuoa watakuwepo, wasiotaka kuolewa watakuwepo. Dunia itaendelea kujizungusha kwenye mhimili wake.
👍👍Yes taasisi ya ndoa itaendelea kuwepo milele na milele , hyo ni nature , hakuna raia wa kuweza kuipinga , ikikushinda unakaa pembeni , unaenda kujifia huko mbele Kwa mbele , watu wataendelea kuoa na kuolewa mpak sku Ile mwenye dunia yake atakapokuja