Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Nashauri Mahakama zote kabla ya kutatua matatizo kama haya waanze na swala kwa walengwa kuwa je mlikubaliana na mkafanya kwa hiari yenu? Majibu yao ndiyo yawaongoze katika kutatua haya maswala badala ya kuwahukumu kwa lazima kumbe wao wamekubaliana
Haya bhana.Ngoja nikuache.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Basi vile vile si sawa kumkamata mtu anayetembea uchi, au anayeua mwanaye, Mtoto ni wake, maisha ni yake mahakama inawahusu nini!
 
Basi vile vile si sawa kumkamata mtu anayetembea uchi, au anayeua mwanaye, Mtoto ni wake, maisha ni yake mahakama inawahusu nini!
Mapenzi yanahusiana na faragha, nadhani serikali ingesema ni marufuku kufanya mapenzi hadharani badala ya kusema ni marufuku kufanya mapenzi kwasababu huwa yanafanywa kwa faragha kwahiyo hakutakuwa na namna ya kuwazuia hawa watu kwasababu hutawaona wakifanya
 
Kwani mwanasheria hawezi kuwa shoga?
Daktari anapotibu wagonjwa yeye anakuwa ni mgonjwa mojawapo sio? Watanzania wangu mnatabia ya kubaka maneno na kumwekelea mtu maneno ya mdomoni
 
Mr Bwabwa
 
Hili la kusuka halina mashiko, binadamu huwezi kuwazuia wenzio kufanya yao. Wao wanadhani kwa kufanya hivyo watazuia ushoga jambo ambalo sio kweli kwasababu hata wasiosuka baadhi yao ni mashoga pia
So binadamu akitaka kuua tumwache kisa anafanya jambo lake??!!
Afu Zenji wanakomaa na kulinda maadili
 
Mauzi ya kishoga shoga yapigwe marufuku ni kama yana promote hii upindezone
 
Kwani bangi inavutwa hadharani? Wauaji wanaua hadharani? Maawa ya kulevya yanatumiwa hadharani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…