Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Haya bhana.Ngoja nikuache.Nashauri Mahakama zote kabla ya kutatua matatizo kama haya waanze na swala kwa walengwa kuwa je mlikubaliana na mkafanya kwa hiari yenu? Majibu yao ndiyo yawaongoze katika kutatua haya maswala badala ya kuwahukumu kwa lazima kumbe wao wamekubaliana
Mwokozi wa nini wakati meli na Ndege kila siku ni ajali tumleta mada unazingua.
YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Kwamba afute kisa wewe mtizamo wako uko negative!?nawashangaa moderators Bado hawajaufuta Uzi huu. I wonder!
Jesus saves
Mapenzi yanahusiana na faragha, nadhani serikali ingesema ni marufuku kufanya mapenzi hadharani badala ya kusema ni marufuku kufanya mapenzi kwasababu huwa yanafanywa kwa faragha kwahiyo hakutakuwa na namna ya kuwazuia hawa watu kwasababu hutawaona wakifanyaBasi vile vile si sawa kumkamata mtu anayetembea uchi, au anayeua mwanaye, Mtoto ni wake, maisha ni yake mahakama inawahusu nini!
Kwani mwanasheria hawezi kuwa shoga?Mimi ni mwanasheria ndugu acha tafsiri mbaya
Mr BwabwaSi sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.
Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.
Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.
Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
So binadamu akitaka kuua tumwache kisa anafanya jambo lake??!!Hili la kusuka halina mashiko, binadamu huwezi kuwazuia wenzio kufanya yao. Wao wanadhani kwa kufanya hivyo watazuia ushoga jambo ambalo sio kweli kwasababu hata wasiosuka baadhi yao ni mashoga pia
Kwani bangi inavutwa hadharani? Wauaji wanaua hadharani? Maawa ya kulevya yanatumiwa hadharani?Mapenzi yanahusiana na faragha, nadhani serikali ingesema ni marufuku kufanya mapenzi hadharani badala ya kusema ni marufuku kufanya mapenzi kwasababu huwa yanafanywa kwa faragha kwahiyo hakutakuwa na namna ya kuwazuia hawa watu kwasababu hutawaona wakifanya
Nakuingizaje tena mkuu??😀Unapata tabu kwasababu unatafsiri vibaya, badala ya kuchangia unaniingiza mimi ndani ya mada
Mauzi ya kishoga shoga yapigwe marufuku ni kama yana promote hii upindezone