Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Nivizuri kuwa kesi kama hizo bint akaanzishe mwenyewe malalamiko mahakani endapo aliingiliwa bila ridhaa yake kwasababu inawezekana ameupenda mchezo yeye na kidume wake kisha ninyi mkawaingilia hapo mnawakosea na kuwanyima haki yao ya kufurahia mapenzi
Mkuu haupo sahihi,kwasababu hapo lazima kuangalia upeo/ukomavu wa akili wa binti,huwezi sema ati kwasababu wamekubaliana basi mwanaume asishitakiwe,hiyo si sawa.Umri wa binti una matter sana,ndio maana akishafika chuo,huwa hakuna nongwa kabisa kwa binti kupata ujauzito au hata kuolewa akiwa masomoni.Ishu nyingine ni Maadili,km jambo si la Kimaadili napo lazima Serikali iingilie kati hata km wawili wamekubaliana.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.

Upinde mmoja umepta like mbili hapa inaamana mko machoko wa3[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
Wewe ni shoga!
 
Duh we jamaa hufikiliag mbali kama ni starehe yake kwaivyo hata watoto wa shule wakishka mimba ni sawa kwasababu ni starehe zao? Au madawa ya kulevya si starehe zao. Mapenzi ya jinsia moja yana madhara kwa wanaume ko kinachokupeleka mahakamani ni madhara sio ulichofanya yan ni sawa na kutaka kujiua.ulitaka mwenyew lakin lazma uadhibiwe.
Umemaliza mzee.! Kama hajakuelewa na hapo basi athari kwa kijana wetu ni kubwa mno.
 
nawashangaa moderators Bado hawajaufuta Uzi huu. I wonder!


Jesus saves
SAS na wew unajidai mlokole

Huu Uzi unashida gani ,we ndio mwenye shida HV vitu vipo enzi na enzi huko sodoma na gomora vilikuepo

Hapa tunajadili tuone sheria zetu ziko VIP kwenye ku deal na vitu Kama HV

In short haviepukiki
 
Ishu ni moja
Mashoga wote na wanao utetea Ushoga
Na Magaidi wote wapigwe risasi .
Mtoa mada unastahili kuuawa kikatili sana.
Kama yule wa Geita.
 
Acha mawazo hasi ndugu. Nazungumza kama mwanasheria, sisi wanasheria tunatetea pande zote ndio kazi yetu. Usiniingize mimi kwenye hii mada. Nazungumza kisheria
Hakuna Cha Mwanasheria
Wewe ni Choks...
Mmekua na uhuru wa kuongea sana
Basi tu
 
Acha mawazo hasi ndugu. Nazungumza kama mwanasheria, sisi wanasheria tunatetea pande zote ndio kazi yetu. Usiniingize mimi kwenye hii mada. Nazungumza kisheria
Mwanasheria konyo embu acha kuzalilisha na kutetea ujinga.
Sheria ya ndoa inakataza same sex marriage (Law of Marriage Act) , again Penal code inakataza mapenzi ya jinsia Moja na ni Sheria zetu hizo asa wewe nakushangaa mwanasheria wa wapi au labda wa mashoga
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
Unapenda sana mb*** ety eeh?
 
Acha mawazo hasi ndugu. Nazungumza kama mwanasheria, sisi wanasheria tunatetea pande zote ndio kazi yetu. Usiniingize mimi kwenye hii mada. Nazungumza kisheria
Hauna mshipa wa taarabu ety eeh..
 
Watu wamekubaliana wenyewe ninyi mnahangaika nao mahakamani, ndio mwisho wa kesi wanashinda kama askari wa zenji
Hawezi kushinda kesi!! Ni kosa la jinai mtu kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja hapa Tanzania. Kitakachotakiwa na mahakama ni ushahidi tu kuwa mtu alijihusisha na mapenzi ya jinsia moja kama vile kukutwa na shahawa kwenye mk*ndu, au kukutwa marinda yalishapotea siku nyingi. Uchunguzi hufanywa na madaktari!!

Hatuwezi kuruhusu starehe yako ituletee laana kwenye nchi yetu kama ilivyokuwa kwa sodoma na gomora!!
 
Wewe unafanya kwa hiari au unafanywa kwa hiari??
Mimi ni mwanasheria wewe unatakiwa kuchangia mada usini attack mimi kwasababu hili swala halinihusu mimi. Nasema na hawa vijana wanaoshiriki hii kandanda
 
Back
Top Bottom