Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Quote vifungu vya sheria vinavyo tetea huu upuuzi hapa ukishindwa ww ni mmoja wao si ajabu ndo Afande Rama kabisa ulie achiwa majuzi
Ndugu yangu hili swala lipo ndani ya faragha ndio maana sheria ya faragha haimfuati mtu chumbani inaishia nje ya mlango ndivyo tunavyowatetea hawa wahanga. Sisi tunategemea kupokea malalalmiko kuwa mtu kabakwa, kalawitiwa, kanajisiwa pasipo idhini yake hapo ndipo tutaweza kumsaidia kwa haraka
 
Watu hawaelewi nini maana ya haki za binadamu.

Watu wanasingizia kuwa ni maadili, lakini kama wamependa wenyewe kwanini wewe uwaingilie!?

Haya mambo yanapaswa kuwa personal,
Serikali walitafuta namna ya kupoza akili za watanzania tu, ila hakukuwa na kesi hapo.
 
Watu hawaelewi nini maana ya haki za binadamu.

Watu wanasingizia kuwa ni maadili, lakini kama wamependa wenyewe kwanini wewe uwaingilie!?

Haya mambo yanapaswa kuwa personal,
Serikali walitafuta namna ya kupoza akili za watanzania tu, ila hakukuwa na kesi hapo.
Itakuwa kesi endapo mmoja analalamika kufanyiwa hivyo bila idhini yake. Hawa wenzetu wanatuletea malalamiko ya watu wanaofanya starehe zo kwa makubaliano yao wenyewe hapa ndipo panaleta mkanganyiko
 
Itakuwa kesi endapo mmoja analalamika kufanyiwa hivyo bila idhini yake. Hawa wenzetu wanatuletea malalamiko ya watu wanaofanya starehe zo kwa makubaliano yao wenyewe hapa ndipo panaleta mkanganyiko
Watu hawalielewi hili,

Mtu kama haukubali mambo hayo, wewe yakuwasha nini!?

Mimi mwenyewe sikubali mambo hayo lakini siwezi teseka na mashoga, huwachukulia kama walemavu tu
 
Duh we jamaa hufikiliag mbali kama ni starehe yake kwaivyo hata watoto wa shule wakishka mimba ni sawa kwasababu ni starehe zao? Au madawa ya kulevya si starehe zao. Mapenzi ya jinsia moja yana madhara kwa wanaume ko kinachokupeleka mahakamani ni madhara sio ulichofanya yan ni sawa na kutaka kujiua.ulitaka mwenyew lakin lazma uadhibiwe.
Ni vizuri kesi ikaletwa na mtu aliyefanyiwa bila idhini yake mwenyewe. Kuleta kesi za watu waliokubaliana angali kati yao hakuna hata mmoja aliyelalamika haitakuwa na maana. Mwijaku alienda ustawi wa jamii kulalamika Harmonize ana najisi familia ya Kajala huku hakuna aliyelalamika kati ya Harmonize na Kajala mwisho wa siku alipuuzwa
 
Kuna norms, values and customs hatuwezi muacha afanye ufirauni kisa starehe yake ....ht km ameshinda kesi but alipeleka mahakamani
Sisi tutamwambia kuwa kwasababu kaamua kuinamishwa mwenyewe basi tusimuone akiinamishwa hadharani
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
Wewe hauoni kuwa hivyo vitisho vinawekwa Ili kukusaidia wewe mwanao asiwe shoga
 
Ni vizuri kesi ikaletwa na mtu aliyefanyiwa bila idhini yake mwenyewe. Kuleta kesi za watu waliokubaliana angali kati yao hakuna hata mmoja aliyelalamika haitakuwa na maana. Mwijaku alienda ustawi wa jamii kulalamika Harmonize ana najisi familia ya Kajala huku hakuna aliyelalamika kati ya Harmonize na Kajala mwisho wa siku alipuuzwa
unaweza kuliamini jambo kwasababu unalijua kwa kina au kuliamini jambo kwasababu hulijui undani wake. we unadhan kuna sababu ya dereva pikipiki asievaa element kukamatwa wakat bado hajapata hajari na iyo ni starehe yake na hajalalamika yeye au mtembea kwa miguu ?

dereva pikipiki anakamatwa kwasababu ya record za waliopata hajari bila kuvaa element jinsi walivyovunjika vichwa vyao na sio malalamiko ya watu wengine.

unachotakiwa kujua ni kwamba ilianza akili ikafata sheria.sheria inawalinda wenye akili na wasio na akili lakini akili inawatawala wote na sheria zao.

mapenzi ya jinsia moja yana madhara makubwa kisaikolojia hasa pale mtu anapotumia nguvu kuwashawishi wengine wawe kama yeye.kumbuka. shoga humpenda hata asiekuwa shoga na kumshawishi kwa nguvu yoyote.
 
Mtoto wako mfundishe mapema madhara yake akae akijua. Ukimuacha basi atajifundisha mwenyewe kwa kujaribu
Unataka kuniambia kama serikali isingepiga marufuku uvutaji wa bangi wewe ungeweza kuwazuia watoto wako wasivute bangi maana bangi ingekuwa inavutwa mitaani kote sehemu ambazo watoto wako wanacheza

Au na wewe shoga?
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
Ni sawa kisheria ,ila kibinadamu ni sawa pia ila Kwann Afande wa Zenji kaachiwa ni kwasababu sio sawa kifaragha na ni sawa kwa mtazamo tabia hiyo imejengeka kwenye jamii husika
 
Duh we jamaa hufikiliag mbali kama ni starehe yake kwaivyo hata watoto wa shule wakishka mimba ni sawa kwasababu ni starehe zao? Au madawa ya kulevya si starehe zao. Mapenzi ya jinsia moja yana madhara kwa wanaume ko kinachokupeleka mahakamani ni madhara sio ulichofanya yan ni sawa na kutaka kujiua.ulitaka mwenyew lakin lazma uadhibiwe.
Wanafunzi wanaobeba mimba nao wapelekwe mahakamani.

Mimi nadhani kuwapeleka mahakamani mashoga ni kupoteza muda wakati mnajua kabisa atashinda kesi.
Serikali ichague moja either wahukumiwe kifungo au waachane nao. Waache unafiki...
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
pumbavu,na wewe ni walewale
 
Back
Top Bottom