Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

unaweza kuliamini jambo kwasababu unalijua kwa kina au kuliamini jambo kwasababu hulijui undani wake. we unadhan kuna sababu ya dereva pikipiki asievaa element kukamatwa wakat bado hajapata hajari na iyo ni starehe yake na hajalalamika yeye au mtembea kwa miguu ?

dereva pikipiki anakamatwa kwasababu ya record za waliopata hajari bila kuvaa element jinsi walivyovunjika vichwa vyao na sio malalamiko ya watu wengine.

unachotakiwa kujua ni kwamba ilianza akili ikafata sheria.sheria inawalinda wenye akili na wasio na akili lakini akili inawatawala wote na sheria zao.

mapenzi ya jinsia moja yana madhara makubwa kisaikolojia hasa pale mtu anapotumia nguvu kuwashawishi wengine wawe kama yeye.kumbuka. shoga humpenda hata asiekuwa shoga na kumshawishi kwa nguvu yoyote.
Mtu kaamua mwenyewe kushikishwa ukuta tena kwa ridhaa yake mwenyewe, maana yake ni kuwa watu wamuinamishe kama anavotaka yeye sio kumtesa. Mtu anataka kuliwa basi aliwe
 
Unataka kuniambia kama serikali isingepiga marufuku uvutaji wa bangi wewe ungeweza kuwazuia watoto wako wasivute bangi maana bangi ingekuwa inavutwa mitaani kote sehemu ambazo watoto wako wanacheza

Au na wewe shoga?
Mimi ni mwanasheria natetea pande zote. Ndio maana Mizani ndiyo logo ya sheria
 
Wanafunzi wanaobeba mimba nao wapelekwe mahakamani.

Mimi nadhani kuwapeleka mahakamani mashoga ni kupoteza muda wakati mnajua kabisa atashinda kesi.
Serikali ichague moja either wahukumiwe kifungo au waachane nao. Waache unafiki...
ishu ni kwamba kuiendesha dunia hakutaki demokrasia. muathirika wa mapenzi ya jinsia moja ni sawa na mtu mwenye njaa ya damu.kwa upende wake anaona yupo sahihi kwasababu hana jinsi zaidi ya kutaka damu ili aokoe maisha lakini serikali haitakiw kumuacha mtu huyu kwasababu ni tishio kwa watu bila kujali atakunywa damu ya nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.
Napata taabu kukuelewa,ukute ndio walewale wazee wa Upinde.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Watu wamekubaliana wenyewe ninyi mnahangaika nao mahakamani, ndio mwisho wa kesi wanashinda kama askari wa zenji
Hata wanaowapa mimba watoto wa shule huwa ni Makubaliano pia lkn unakula mvua thelathini.Si kila makubaliano baina ya watu wawili huwa yanakubaliwa,makubaliano mengine lazima yazuiliwe kwa ukali.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hata wanaowapa mimba watoto wa shule huwa ni Makubaliano pia lkn unakula mvua thelathini.Si kila makubaliano baina ya watu wawili huwa yanakubaliwa,makubaliano mengine lazima yazuiliwe kwa ukali.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Nivizuri kuwa kesi kama hizo bint akaanzishe mwenyewe malalamiko mahakani endapo aliingiliwa bila ridhaa yake kwasababu inawezekana ameupenda mchezo yeye na kidume wake kisha ninyi mkawaingilia hapo mnawakosea na kuwanyima haki yao ya kufurahia mapenzi
 
ishu ni kwamba kuiendesha dunia hakutaki demokrasia. muathirika wa mapenzi ya jinsia moja ni sawa na mtu mwenye njaa ya damu.kwa upende wake anaona yupo sahihi kwasababu hana jinsi zaidi ya kutaka damu ili aokoe maisha lakini serikali haitakiw kumuacha mtu huyu kwasababu ni tishio kwa watu bila kujali atakunywa damu ya nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imemuachia huru, unalizungumziaje hilo? Na kuna mashoga wengi wapo wazi wanajionyesha, serikali haiwaoni?

Sina tatizo na sheria ya serikali. Wangeifuata ingekuwa sawa tatito hawana ubavu huo ni wanafiki.
Ushoga kwa Tanzania unaruhusiwa..maana hakuna aliyechukuliwa hatua hadi sasa.
 
Serikali imemuachia huru, unalizungumziaje hilo? Na kuna mashoga wengi wapo wazi wanajionyesha, serikali haiwaoni?

Sina tatizo na sheria ya serikali. Wangeifuata ingekuwa sawa tatito hawana ubavu huo ni wanafiki.
Ushoga kwa Tanzania unaruhusiwa..maana hakuna aliyechukuliwa hatua hadi sasa.
mataifa yote makubwa yana sera yao inasema MUNGU HANA DEMOKRASIA LAKINI ANAITANGAZA DEMOKRASIA KUIBALANCE AMANI YA DUNIA maana yake wao mataifa makubwa hawatumii demokrasia lakini wanaitangaza demokrasia.

lakini nchi dhaifu kama yetu inadhani dunia inaendeshwa kwa demokrasia ndio maana inahisi kufanya maamuzi magumu kwa mashoga ni kukosesha haki za binadamu lakini uharisia hata mungu mwenyewe katika biblia na quran anasema kwamba kuna watu amewapa mwanga na wengine giza pia ameandika kuwa yeye mungu ndie anaebadili nyoyo za watu na kuwaongoa maana yake hakuna haki apo ni maamuzi tu ya mungu yupi awe wa mfano kwa wema na yupi wa mfano kwa wabaya na amezaliwa kama sadaka kwa wengine.

jibu la swali lako ni kwamba serikali yako ni dhaifu na hawana elimu ya kujua wenzao wanatawalaje.

marekani wanaruhusu ushoga lakini haki wanazozikosa kupitia huo ushoga wao wenyew wanakoma ndio maana mashoga wanaandamana kila cku kukosa haki zao maana yake marekani hairuhusu ushoga kwa nchi yao ila wanatumia akili kubwa sana kuzuia na hata video za ngono marekani wako makini sana kwa watumiaji wa internet. kutazama video mpaka u login kwenye website ya ngono na uingize namba za kitambulisho lakn africa hakuna masharti kutazama ngono mtandaoni.
 
mataifa yote makubwa yana sera yao inasema MUNGU HANA DEMOKRASIA LAKINI ANAITANGAZA DEMOKRASIA KUIBALANCE AMANI YA DUNIA maana yake wao mataifa makubwa hawatumii demokrasia lakini wanaitangaza demokrasia.

lakini nchi dhaifu kama yetu inadhani dunia inaendeshwa kwa demokrasia ndio maana inahisi kufanya maamuzi magumu kwa mashoga ni kukosesha haki za binadamu lakini uharisia hata mungu mwenyewe katika biblia na quran anasema kwamba kuna watu amewapa mwanga na wengine giza pia ameandika kuwa yeye mungu ndie anaebadili nyoyo za watu na kuwaongoa maana yake hakuna haki apo ni maamuzi tu ya mungu yupi awe wa mfano kwa wema na yupi wa mfano kwa wabaya na amezaliwa kama sadaka kwa wengine.

jibu la swali lako ni kwamba serikali yako ni dhaifu na hawana elimu ya kujua wenzao wanatawalaje.

marekani wanaruhusu ushoga lakini haki wanazozikosa kupitia huo ushoga wao wenyew wanakoma ndio maana mashoga wanaandamana kila cku kukosa haki zao maana yake marekani hairuhusu ushoga kwa nchi yao ila wanatumia akili kubwa sana kuzuia na hata video za ngono marekani wako makini sana kwa watumiaji wa internet. kutazama video mpaka u login kwenye website ya ngono na uingize namba za kitambulisho lakn africa hakuna masharti kutazama ngono mtandaoni.
Aliyesema ni mungu ila ndugu yangu tambua kuwa kuna Shetani pia mwenye wafuasi wengi ni Shetani
 
siwezi kuingiza kifaa changu kitakatifu cha kuniletea watoto duniani sehemu ambayo kinapita kinyesi!!! abadan!!! niLAANA kubwa sana!!!,,,,,,
Kweli umenifurahisha kumbe wewe unatumia kwaajili ya kupata watoto, wenzako wanatumia kuchapa😁
 
Si sawa kumpeleka mtu Mahakamani Kwasababu ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kwasababu ni starehe ya mtu binafsi na maisha yake mwenyewe. Mtu amezaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe kwa wakati wake hivyo basi starehe zake binafsi aachiwe mwenyewe kwasababu hajalazimisha watu washiriki nae starehe hizo bali ni makubaliano yao wenyewe.

Itakuwa sahihi kumpeleka mtu huyu mahakamani endapo anafanya vitendo hivi kwa kurubuni, kulazimisha, kushinikiza, kubaka wenzie washiriki nae pasipo maridhiano yao. Endapo watu anaoshiriki nao wamekubaliana naye basi haina haja ya kuwapeleka mahakamani kwasababu ni swala la maridhiano.

Mahakama inapokea haraka na kufanyia kazi malalamiko yote yaliyowasilishwa na mhusika mwenyewe akilalama jinsi alivyofanyiwa ubaya pengine kabakwa, karubuniwa, kalawitiwa, kanajisiwa nakadhalika. Endapo mtu anakwenda mahakamani kuishtaki watu wanaofanya starehe zao binafsi angali wao wanafurahia basi ni sawa na kupoteza muda kwasababu maswala ya watu binafsi yanamuhusu nini kwenye maisha yake.

Kama mtu ni mcha Mungu basi aishi kwenye maisha yake aliyoyachagua maswala ya kuwafuatilia walevi au wasiomcha Mungu sio kazi yake ni sawa na kuingilia maisha ya watu ni vyema kila mtu akaishi maisha yake aliyochagua pasipo kukerana kwasababu kila mtu kazaliwa mwenyewe na atakufa mwenyewe.


Wewe unafanya kwa hiari au unafanywa kwa hiari??
 
MI mwenyewe akiuleta Ninachapa tu

Sasa si ametaka mwenyewe...
 
Back
Top Bottom